Chekini itv'

Jamaa wa EWURA hamna kitu. Jasho tu lamtoka na kazi kusema mmmm,eeee,aaaa! Mtu 1 kasema EWURA ina coflict of interest katika kuamua ongezeko au punguzo la bei maana ina affect ile 1% yao wanayocharge kila mwezi!

kumbe ewura haina maana yoyote kuwepo...basi hiyo tutaiondoa kwenye hii katiba mpya inayokuja.
 
namuona mchadema itv

MS eeh, plz ustutoe kwenye mada bana, we muislamu gani huna huruma n ss waislamu wenzio wa manzese,vingunguti tunaouza icecream,maji nk? Surely unapotetea uislamu tupamoja lkn ktk issue za maslah ya nchi kama hizi aisee unapoleta mzaha huwa nakereka utadhani umeninyima fursa y kuswali alfajir!
 
Jamaa wa EWURA hamna kitu. Jasho tu lamtoka na kazi kusema mmmm,eeee,aaaa! Mtu 1 kasema EWURA ina coflict of interest katika kuamua ongezeko au punguzo la bei maana ina affect ile 1% yao wanayocharge kila mwezi!

umeongea point mkuu. Sioni sehemu ya thanks, cm zetu hizi cha kichina mwe! Ili 1per cent iongezeke!
 
Inakuweje mikataba na wazalishaji wa umeme ifanywe siri kwa wananchi wakati wananchi ndio walipaji! Jamaa wa EWURA hajajibu hio.
Napiga simu siwapati nataka kusema kuwa solution ni clear ila sirikali haifanyi ni kwanini na beneficiaries ni nani.
YULE JAMAA WA NGO WAMEMTOA AISEE. Without explanations na simu hazipatikani! LOL TANZANIAAAAA! Duh!
 
Renatus Mkinga ameondolewa au ameondoka?Aliyokuwa anasema ni machungu kweli kwa CCM.Hakuwa anauma maneno.Nadhani unajua Itv ni ya mwana ccm wa 77.
 
MS si mtu wa maana.Unategemea kwenda kukariri tu huko.Dk wako hautakuwa na maana.Una hoja za kijinga,lakini hata hivo mtume hakusoma.
 
MS si mtu wa maana.Unategemea kwenda kukariri tu huko.Dk wako hautakuwa na maana.Una hoja za kijinga,lakini hata hivo mtume hakusoma.

Sjakuelewa hapa! Issue ni umeme,mhusika n ms then huyo mtume kaingiaje hapa? Plz stay away from ze prophet ok!!?
 
Duuh!!Kumbe Ngeleja anapewa unit 1400 za bure kila mwezi!!Kwa kweli Watanzania tunaibiwa huu uchungu wa ongezeko la 18% haujui kabisa unatuhusu tu sisi walala hoi.

Upumbavu kama huu usingekuwepo na idara za serikali zingekuwa zinalipa bili zao tusingekuwa tunahenyeka na hii gharama kubwa ya umeme. Watanue wengine wabebeshwe mzigo wengine. Kweli wajinga ndio waliwao.
 
Upumbavu kama huu usingekuwepo na idara za serikali zingekuwa zinalipa bili zao tusingekuwa tunahenyeka na hii gharama kubwa ya umeme. Watanue wengine wabebeshwe mzigo wengine. Kweli wajinga ndio waliwao.

It depends om how you look at it... serikali inamiliki 100% ya Tanesco. Kama unaendesha nchi kama empire it sounds very stupid kwa idara za serikali kulipa umeme... ni sawasawa na mfugaji kununua mayai yake mwenyewe na baadaye kurudisha hizo hizo hela mfukoni mwake. Plus, serikali bado inaipa ruzuku Tanesco ili iweze kujiendesha... but if you run the gov. as a business... They have to pay.. God will.. One day I will return na kuelezea ni kwanini napenda serikali iendeshwe kama business na siyo empire.
 
Back
Top Bottom