minda
JF-Expert Member
- Oct 2, 2009
- 1,068
- 65
hivi karibuni nilisherehekea bday yangu nikiwa nimetimiza miaka 30 na ushee (siri yangu na mod).
jf walikuwa wa kwanza kunitumia happy bday mnamo saa 6 usiku iliyoanzia siku hiyo ya bday.
hapo nilikuwa chumbani mwangu wakati ndg jamaa na marafiki walipokuwa wakinisubiri sebuleni.
asanteni wazazi, asanteni wakuu.
cheki pozi hilo!