Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,631
- 4,225
[media]http://www.youtube.com/watch?v=Ub5Ak14ONGY&eurl=http://www.nairaland.com/nigeria/topic-201643.0.html[/media]
Du Waafrika tunadhalilika kweli kweli kwa kiu ya kuishi majuu!
[/B] Hata ukienda kijijini ulaya ukiingia kwenye supamaketi unakuta kuna chakula cha mbwa, lakini hapa kwetu nenda hapo manzese tu unaweza kuona hata chakula cha binadamu kinakosekana. Afrika moto. Kwa hiyo hao wandugu wanaong'ang'ania huko sio wajinga sana kama tunavyofikiri.
Ulaya hulali njaa, ukilala njaa uvivu wako tu!!Hata maboksi yanalipa tu.