Cheki kiuno hiki

kwenye eneo hili la mambo ya tigo siku zote mchungaji huwa huniangushi!!!!!!
Aminia!!!!!

teh teh eh...tafadhari mchungaji jitokeze haraka uje ujibu tuhuma zako,kwani uchungaji wako umeanza kutiliwa shaka!
 
Ina maana nyie hamuoni anachozungumzia KakaNanii?.....kiuno, kiuno "USHANGA", teh teh. Hizo pozi zingine unaweza shangaa mtu kasimama nyuma yako na mikono kaingiza ndani ya sarawali! Lolz.
 
nime-attempt 43 times kudownload kwa simu nimeshindwa,niwekeeni picha na mm nifaidi ucku huu jamani
 
sijaona cha ajabu ka ulidhani atatutega basi umepotea.......................siku nyingine utuwekeee thread zenye akili ukiendelea kuweka huu upuuuzi wako ntawasiliana na utawala wa JF wakutoe humu,pambaaaf sako
 
Kiukweli uyo demu wako na hicho kiuno nahic unafanananacho se kiuno gani demu kama anaamiba au kwashakoo,eti jaman member mnasemaje eee?
 
Kweli jamaa umechemshaaa!kuna nin cha ajabu hapo??then acha tabia ya kuvizia watu kwenye starehe zao!
 
sijaona cha ajabu ka ulidhani atatutega basi umepotea.......................siku nyingine utuwekeee thread zenye akili ukiendelea kuweka huu upuuuzi wako ntawasiliana na utawala wa JF wakutoe humu,pambaaaf sako

mmmhhh hii haina ulazama ..
ni picha tu....

mmhh kama weye umeona ni ya kiinga sana hata usinge jibu..
iruke tuu,,,,,,,,,
 
Back
Top Bottom