Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,471
- 722
View attachment 31655 View attachment 31656
View attachment 31657 View attachment 31658
View attachment 31659 View attachment 31660
Wamewaonea bure na hii ndiyo shida ya Western culture kutawala dunia! Kila kitu wao hawana mipaka kwa hili FIFA sikubaliani nao.
Staki kucheka! Kwani huo mpira ni utamaduni gani? Kila tamaduni iking'ang'ania kuvaa kufuatana na utamaduni wao itakuwaje? Waarabu wana utamaduni wao usioruhusu jezi za utamaduni walioanzisha mpira wa miguu.Kwani jamani lazima Iran ishiriki?