Cheki jezi ya timu ya wanawake ya Iran

Hizi nguo za Cameroon mbona walizipiga BAN nazo? Wengi mtakuwa mnakumbuka hili tukio. Hapa hapakuwa na Uislaam wala Ukristo.

cameroonkit2004_275x155.jpg
Hii jezi walikuwa wameunga na kuwa kama nguo moja. Hadi leo sielewi walikuwa wanaingiaji kuvaa. Labda nyuma kuna zipu kama gauni.

Baadaye ikaja hii ya mikono mifupi....... Nayo wakaipa BAN na Cameroon hawakuitumia tena. Ila siku moja dada yetu akatokea kavalia kama Cameroon na kutoa kituko cha Mwaka. Na mechi akashinda.
rankings_uk-642072668-1302787516.jpg


Ila mtu wa kwanza alikuwa Golkipa wa Mexico, Jorge Campos na mashati yake. Walimuangaliaaaa na mwisho wakampa BAN na yeye. Duniani watu walisikitika sana maana alikuwa kipenzi cha watu na mashati yake ya rangirangi.....
campos_display_image.jpg
 
Sheria namba 4 ya FIFA Laws of the game inahusu Players Equipment. Hebu ipitie muone kama walikosea au la
A player must not use equipment or wear anything that is dangerous to
himself or another player (including any kind of jewellery).
Basic equipment
The basic compulsory equipment of a player comprises the following separate
items:
• a jersey or shirt with sleeves – if undergarments are worn, the colour of the
sleeve must be the same main colour as the sleeve of the jersey or shirt
• shorts – if undershorts are worn, they must be of the same main colour as
the shorts
• stockings
• shinguards
• footwear
Shinguards
• are covered entirely by the stockings
• are made of rubber, plastic or a similar suitable material
• provide a reasonable degree of protection
 
Mimi siyo mwislamu. Tatizo lingine ni kuendekeza western culture kama ndio civilization. Tamaduni za middle east ukiacha mambo ya dini, wanawake na wanaume wana uvaaji wao. Dini pia ni culture. Wapo ambao wapo mashariki ya kati nao hupenda kuvaa hivyo. Tazama maigizo ya matendo ya Yesu, na angalia wanawake walikisiwa kuvaa vipi hata kabla ya uislamu. FIFA needs to reform, not everything is Western. Kwa hili Waarabu hawa walionewa tu.

Umeongea vizuri sana ispokuwa hapo uliposema "Waarabu hawa". Wa Iran si Waarabu hata lugha yao ni tofauti. Hawa ni Persians au kwa kiswahili ni waFarsi, katika pwani na visiwa vya Afrika Mashariki wenye asili ya zamani ya huko hujulikana kama wa Shirazi.
 
TUKUZUNGUMZA ukweli, hizi jezi ni nzuri sana, na hazina matatizo yoyote mchezoni, hazijabana, sio kubwa sana, ni kaptula kama zingine ila tu ni ndefu kidogo, hilo sio tatizo kabisaa kwenye soka, jezi za juu na zenyewe pia hazina tatizo lolote, huu ni uonevu or biased mind/culture. hakuna reasoning ilioyofanyika hapo. FIFA are STUPID.
 
TUKUZUNGUMZA ukweli, hizi jezi ni nzuri sana, na hazina matatizo yoyote mchezoni, hazijabana, sio kubwa sana, ni kaptula kama zingine ila tu ni ndefu kidogo, hilo sio tatizo kabisaa kwenye soka, jezi za juu na zenyewe pia hazina tatizo lolote, huu ni uonevu or biased mind/culture. hakuna reasoning ilioyofanyika hapo. FIFA are STUPID.

Mkuu sheria za FIFA ndizo zimepiga marufuku jezi hizi. Ona tu kwa kifupi FIFA wanaongelea nini kuhusu Players Equipment ambayo ni sheria ya 4 kati ya sheria 17 zinazoongoza soka.
• a jersey or shirt with sleeves – if undergarments are worn, the colour of the
sleeve must be the same main colour as the sleeve of the jersey or shirt
• shorts – if undershorts are worn, they must be of the same main colour as
the shorts
 
Hawa utamaduni wao ni ugaidi waende wakatengeneze milipuko huko kwao shwaini kabisa, mbona wazungu wakienda nchi za kiarabu wanavaa viremba inakuwaje wao wakienda nchi za kizungu wasifuate utamaduni wa kimangaribi? hii ni kaswende ya ubongo.
 
Hizi nguo za Cameroon mbona walizipiga BAN nazo? Wengi mtakuwa mnakumbuka hili tukio. Hapa hapakuwa na Uislaam wala Ukristo.

cameroonkit2004_275x155.jpg
Hii jezi walikuwa wameunga na kuwa kama nguo moja. Hadi leo sielewi walikuwa wanaingiaji kuvaa. Labda nyuma kuna zipu kama gauni.

Baadaye ikaja hii ya mikono mifupi....... Nayo wakaipa BAN na Cameroon hawakuitumia tena. Ila siku moja dada yetu akatokea kavalia kama Cameroon na kutoa kituko cha Mwaka. Na mechi akashinda.
rankings_uk-642072668-1302787516.jpg


Ila mtu wa kwanza alikuwa Golkipa wa Mexico, Jorge Campos na mashati yake. Walimuangaliaaaa na mwisho wakampa BAN na yeye. Duniani watu walisikitika sana maana alikuwa kipenzi cha watu na mashati yake ya rangirangi.....
campos_display_image.jpg


hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa hizo jezi za cameroon mbavu sina:becky::becky::becky:sijui ni ubunifu au kubana matumizi mpaka wavae kanyela humo humo:becky::becky:
 
Bac tena wabaki tu na utamaduni wao maana FIFA hawana maana hata kidogo!!!!
 
Ila timu ya Brazil kiboko nafikiri refa nae atakuwa mwanamke!!!:majani7:
 
Hizi nguo za Cameroon mbona walizipiga BAN nazo? Wengi mtakuwa mnakumbuka hili tukio. Hapa hapakuwa na Uislaam wala Ukristo.

cameroonkit2004_275x155.jpg
Hii jezi walikuwa wameunga na kuwa kama nguo moja. Hadi leo sielewi walikuwa wanaingiaji kuvaa. Labda nyuma kuna zipu kama gauni.

Baadaye ikaja hii ya mikono mifupi....... Nayo wakaipa BAN na Cameroon hawakuitumia tena. Ila siku moja dada yetu akatokea kavalia kama Cameroon na kutoa kituko cha Mwaka. Na mechi akashinda.
rankings_uk-642072668-1302787516.jpg


Ila mtu wa kwanza alikuwa Golkipa wa Mexico, Jorge Campos na mashati yake. Walimuangaliaaaa na mwisho wakampa BAN na yeye. Duniani watu walisikitika sana maana alikuwa kipenzi cha watu na mashati yake ya rangirangi.....
campos_display_image.jpg

Mwanangu nimekukubali kuwa kweli uko deep ktk soka! ila mi bado sikubaliani na FIFA ktk hili.
 
kweli kabisa...... kama watu wakienda arabuni wanavaa hivyo.....na wao wakienda kwa wenzao wachojoe.......!(JOKE)
 
Mimi si muislam, lakin WALIWAONEA, TENA NI UBAGUZI NA UDINI WA HALI YA JUU, SHAME ON THEM!
 
Hawa utamaduni wao ni ugaidi waende wakatengeneze milipuko huko kwao shwaini kabisa, mbona wazungu wakienda nchi za kiarabu wanavaa viremba inakuwaje wao wakienda nchi za kizungu wasifuate utamaduni wa kimangaribi? hii ni kaswende ya ubongo.
Kumbe utamaduni wa kimangaribi (sic*) ni kuvaa nusu uchi...! Kweli kaswende ya ubongo.
 
Mimi siyo mwislamu. Tatizo lingine ni kuendekeza western culture kama ndio civilization. Tamaduni za middle east ukiacha mambo ya dini, wanawake na wanaume wana uvaaji wao. Dini pia ni culture. Wapo ambao wapo mashariki ya kati nao hupenda kuvaa hivyo. Tazama maigizo ya matendo ya Yesu, na angalia wanawake walikisiwa kuvaa vipi hata kabla ya uislamu. FIFA needs to reform, not everything is Western. Kwa hili Waarabu hawa walionewa tu.

Iran sio Waarabu.
 
ukiangalia hao brazili ni tofauti , kuna tofauti ya utamaduni na dini pia. bado tu haujaelewa. cha msingi mapaja ya waarabu wa kike bado ni mali. na mutaendelea kuyasikia tu bali si kuyaona kwa macho........:becky:
 
Back
Top Bottom