Huu si utani, ni majibu yatolewayo kimya kimya nyuma ya pazia.
Yule dada Badra mbele za vyombo vya habar anajifanya kutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa
Naona kuna mtu anatumia hiyo jina wakuu!! Kama ni wao basi itakuwa ni balaa tupu inabidi wapelekwe the Hague!!! Ha ha ha Wawa UHURUTO!! The Presidaaaaaz!! Khaaa sijui yule mama wa ICC anaonaje hili!!! Ila siku chache kabla ya uchaguzi alitutumbelea TZ kimya kimya!!! Hiii nayo imekaaje?
kwakweli na mimi nimecheka hadi basi....it must be a utani flani hivi sio kitu serious bhana, ngoja niwaite wazee wenzangu waje tusaidiane MANIzumbemkuu Dada Palomasaudari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.