Mhigomkami
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 855
- 502
tatizo haya makampuni yanapiga hela bila fadhila. Watu wanagharamia mawasiliano. kabla hawajaingiza product mpya sokoni walitakiwa waangalie network capacity yao ili kutupunguzia network congestion na call drops. shame to them.