CHEDEMA kufutwa, Kibamba, Nkya na Wanaharakati kufungwa; Warema kasema leo Bungeni!

Kuna hali mbaya sana itakuja kutokea kwenye hii nchi na itachafuka sana, huu ni msemo wangu labda tusubirie na tuone wapi tunaenda,maana sasa hivi CCM wanaamua kuingiza nguvu kwenye sehemu ambazo nguvu haziitajiki, eti mtu akipinga anafungwa miaka mitatu,

Wafahamu kwamba gaddafi walimchomoa kwenye nchi yake na kaitawala zaidi ya miaka 40 na kitu na alikuwa anaijua vizuri kabisa na kila kona,so zaidi me nasema kwamba CCM mnaenda kubaya, na bora JK uachie ngazi tu mapema kabla nchi haijachafuka au hujafanya ichafuke....

N.B hii comment siku ya siku nitakuja kuiweka hapa jamvini nitainzishia thread kabisa, kwamba kuna machafuko yanakuja kutokea soon......
 
magamba wanaogopa sana peoples power, lakini siku zao zinahesabika, hawajui kuwa uko mbeya raisi wao ni Sugu na JK hawamtambui, duh basi jela tutaenda wengi, inakuwaje aya mambo ya sheria, nyie LLB na LLM mbona hamueleweki?? kwani wanasheria wanalala usingizi na wakiamka wanatunga tu mambo yao ata kama ya ovyo pia kandamizi?? thats why fani hizi aaaaah mi naona inatusumbua sana.
 
Ninachojua ni kuwa huo muswada haujawa sheria. Kuwa sheria ni mpaka Rais asaini. Kisha waziri mwenye dhamana kutangaza.Kabla hajasaini, sisi tunaandamana.
Ndugu yangu, tambua kuwaRais akiwa anaongea na wazee wa ccm na ccmB cuf jana kasema atausaini no objective for this,halafu, katiba tayari imeshaandaliwa, hayo maoni ulosikia yatatafutwa toka kwa wananchi ni kiini macho tuu,ndo sababu rais kajipa jukumu la kuweka watu wake kny tume bandia, kama wataedit ni kidogo tuu!so tusitarajie badiliko lolote hapa!
 
Haiingii kabisa akilini kwamba kikundi cha watu wapatao mia tatu au nne hivi kiketi chini ya mwavuli wa dude linaloitwa Bunge kutunga na kuupitisha muswada wa kuwapokonya watanzania milioni 40 haki waliyopewa na katiba ya uhuru wa kutoa maoni.
Inawapasa CCM kufahamu kwamba huo ni uhaini dhidi ya watanzania na watahukumiwa na umma kwa hilo.
Kama muswada huo ni wenye lengo la kupanua wigo wa demokrasia, wanaogopa nini mpaka wautungie sheria ya kuulinda usikosolewe?

Na ni mwanasheria yupi aliyenena hayo? ni yuleyule aliyedai hadharani kwamba hakuwa akiuona umuhimu wa kubadili katiba au mwingine? na ni waziri yupi aliyeusimamia muswaada huo? ni yule mama aliyenadi bila aibu wala soni kwamba Tanzania haihitaji katiba mpya na wala haikuwa na fedha kwa kazi ile? Shame on you CCM - History will judge you.


naomba yeyote alofuatilia vyema kifungu hicho cha 19 kama alivyosoma werema jana atoe clarification,
mie nlivyomsikia wakati bunge limekaa kama kamati alisema wameongeza hicho kifungu pia na hizo adhabu,
so tutarajie nini hapo kama sio kufungwa kwa siye tusoridhika na mchakato ulivyoendeshwa?
 
Msijali. Hata tukifungwa watanzania wooote, hasa wasikuwa wa Magamba. Kamanda Lema ashaonesha kuwa kuwa jela siyo ishu! Hapa ndo tutakapoonesha kuwa sheria hii ni feki. Kama nia ni Katiba mpya ya kuwashirikisha Watanzania wote, vifungo vya vifungo vya nini? Wana harakati tusirudi nyuma. Hapa Tandahimba mwendo mdundo!
 
serikali inasubiri nini kuvifuta hivi vyama vyote vya kisanii na kurudi enzi za chama kimoja? Nalog off
 
Back
Top Bottom