Wanajamiiforums,
Kutokana na kifungu (19) kilichoongezwa katika mswada kama alivyosoma mwanasheria mkuu wa CCM-warema, ni kuwa atakayepinga au kuzungumzia maamuzi ya mswada ulopitishwa bunge la CCM leo, adhabu yake ni miaka mitatu jela au faini milioni tano!
Well n' good, wanaharakati wetu na chadema mtasalimika kwa hili? Au ndo mambo yashakuwa level hivyo?
HECHE, KAFULILA, KIBAMBA, bado j'2 kitaeleweka?
.....wameshika mpini je atakayethubutu kushika makali ya sime nani.....?
Kutokana na kifungu (19) kilichoongezwa katika mswada kama alivyosoma mwanasheria mkuu wa CCM-warema, ni kuwa atakayepinga au kuzungumzia maamuzi ya mswada ulopitishwa bunge la CCM leo, adhabu yake ni miaka mitatu jela au faini milioni tano!
Well n' good, wanaharakati wetu na chadema mtasalimika kwa hili? Au ndo mambo yashakuwa level hivyo?
HECHE, KAFULILA, KIBAMBA, bado j'2 kitaeleweka?
.....wameshika mpini je atakayethubutu kushika makali ya sime nani.....?