Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya wale wa androids Mchina nae kajaaaa! Gtide kbao nazo tayar zna androids.... G TIDE ZPO HAPA
ya kwako ni symbian os bora ambayo nokia ameitupa so imebaki yatima
Nimeipata nami pia,natumia jembe langu TECNO T1,ni jembe balaa!JF wana android app iko playstore ni balaa ina option almost zote.... na iko fasta...
Tigo wana Huawei Ascend Y200 kwa 175,000/= https://www.facebook.com/TigoTanzania?fref=ts
Yeah kwa bei hiyo siyo mbaya ila RAM ndogo usitegemee performance sana.
Kwa ajili ya first time smartphone owner
galaxy 3 man fr humans ni very cheap
Nipeni tofauti ya Tablet na Ipad?Tablet naweza ita Ipad? I need help plz
Ipad ni tablet na sio tablet ni ipad.
Kama unavosema simu ndio tablet.
Tablet ni aina ya gadget ambayo imetengenezwa kufanya kazi baadhi za simu na baadhi za laptop. Mara nyingi inakua touch screen na inakua na kioo nchi 7 hadi 10
Ipad ni aina ya tablet inayotengenezwa na apple ambayo inarun ios. Kwa sababu hawa ni wa kwanza kuingia kwenye game ndio maana umeona jina ipad ni maarufu kuliko jina tablet
Umenichanganya kidogo,mimi natumia Galaxy Tablet,nikiita Ipad nakosea? Sorry uelewa wangu mdogo
Unakosea iPad inatengenezwa na Apple tu. iPad ni kama Corolla, tablet ni kama gari. So iPad ni tablet, ila tablet sio lazima iwe iPad.