Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,894
- 31,103
Nimewahi kukutana na Mary Chitanda mara moja mwaka jana akitokea Morogoro kama sikosei kwa nafasi hiyo hiyo ya katibu wa mkoa.
Nina sehemu ya kufanyabiashara eneo la stadium huyu mama alitupandishia kodi 100 % ikabidi nijitose ofisini kwake nikakumbana na dharau ya aiana yake. Nilipodadisi baadhi ya watumishi wa CCM mkoa wote walikuwa wakimuogopa utadhani Mungu mdogo kuanzia madereva mpaka maofisa wa vyeo vya juu walikuwa hawataki kuingia kwenye anga zake. Kila mmoja alikuwa akitoa hadithi mbaya za Mary Chitanda kwamba ni mtu wa karibu sana na mkuu wa nchi, kwamba ni jasusi wa hali ya juu, kwamba alishiriki kumtimua aliyekuwa katibu wa UWT taifa, kwamba kaletwa hapa kuhujumu upinzani ambao umeonekana ukiisumbua CCM tangu mwaka 1995.
Mary Chitanda ni kiongozi mwenye nguvu kubwa sana ndani ya CCM kiasi kwamba alimwambia wazi Dr Batilda Buriani anapaswa kujilaumu mwenyewe kwakuwa alishiriki kuanzisha kambi mbili ndani ya CCM. Mary Chitanda kwa kutumia nafasi yake ya katibu wa CCM mkoa ni mshirika na mwanachama mwaminifu wa kundi la mtandao. Nafasi ya katibu wa mkoa kwa kawaida aina nguvu kubwa sana lakini hali ni tofauti kidogo kwa Chitanda amabae pia ni mjumbe wa kamati kuu UWT na halmashauri kuu ya CCM taifa.
Unaweza kujiuliza kiburi cha Chitanda kinatoka wapi mbona wapo makatibu wa mikoa kibao hatuwasikii wala hawana impact ya maana katika jamii. Mary ni jasusi ndiyo maana alipoona maaskofu wamebaini ubaradhuli wa CCM alitumia taaluma yake kuwachota baadhi ya masheckh ubwaubwa kwamba mgogoro wa umeya Arusha una harufu ya udini kitu ambacho si kweli hata kidogo bahati nzuri Meya wa kuchongwa wa CCM Bwana G Lyimo ni mkristo tena aliyesomea upadri ukamshinda. Mgombea wa CDM naye ni mkristo sasa suala la udini liko wapi kama si ujasusi uchwara wa Mary Chitanda.
Nina sehemu ya kufanyabiashara eneo la stadium huyu mama alitupandishia kodi 100 % ikabidi nijitose ofisini kwake nikakumbana na dharau ya aiana yake. Nilipodadisi baadhi ya watumishi wa CCM mkoa wote walikuwa wakimuogopa utadhani Mungu mdogo kuanzia madereva mpaka maofisa wa vyeo vya juu walikuwa hawataki kuingia kwenye anga zake. Kila mmoja alikuwa akitoa hadithi mbaya za Mary Chitanda kwamba ni mtu wa karibu sana na mkuu wa nchi, kwamba ni jasusi wa hali ya juu, kwamba alishiriki kumtimua aliyekuwa katibu wa UWT taifa, kwamba kaletwa hapa kuhujumu upinzani ambao umeonekana ukiisumbua CCM tangu mwaka 1995.
Mary Chitanda ni kiongozi mwenye nguvu kubwa sana ndani ya CCM kiasi kwamba alimwambia wazi Dr Batilda Buriani anapaswa kujilaumu mwenyewe kwakuwa alishiriki kuanzisha kambi mbili ndani ya CCM. Mary Chitanda kwa kutumia nafasi yake ya katibu wa CCM mkoa ni mshirika na mwanachama mwaminifu wa kundi la mtandao. Nafasi ya katibu wa mkoa kwa kawaida aina nguvu kubwa sana lakini hali ni tofauti kidogo kwa Chitanda amabae pia ni mjumbe wa kamati kuu UWT na halmashauri kuu ya CCM taifa.
Unaweza kujiuliza kiburi cha Chitanda kinatoka wapi mbona wapo makatibu wa mikoa kibao hatuwasikii wala hawana impact ya maana katika jamii. Mary ni jasusi ndiyo maana alipoona maaskofu wamebaini ubaradhuli wa CCM alitumia taaluma yake kuwachota baadhi ya masheckh ubwaubwa kwamba mgogoro wa umeya Arusha una harufu ya udini kitu ambacho si kweli hata kidogo bahati nzuri Meya wa kuchongwa wa CCM Bwana G Lyimo ni mkristo tena aliyesomea upadri ukamshinda. Mgombea wa CDM naye ni mkristo sasa suala la udini liko wapi kama si ujasusi uchwara wa Mary Chitanda.