MGOGOHALISI
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 1,984
- 2,587
Baada ya malalamiko ya Chadema kuhusu chatanda kule arusha kusikika, wazalenda wachache ndani ya chama cha magamba waliliona hilo nakuvalia njuga kuwa mama huyu aondelewe huko. Cha ajabu wazalendo hawa wameishia kupewa "onyo kali" na wavaa magamba ndani ya chama hiki? Sasa mimi nashindwa kuelewa, Huyu mama amewekwa na nani huku harusha? Maana mabaya aliyofanya yako hadharani lakini bada inaonyesha anapigiwa makofi na magamba tusiyoyajua yako wapi? naombeni maoni wana jf