Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
Hii chat naiona iko general sana kama ilivyokusudiwa. Kuna wakati unahitaji kumvuta mdau chemba kidogo. Sasa inakuwaje?
Hii chat naiona iko general sana kama ilivyokusudiwa. Kuna wakati unahitaji kumvuta mdau chemba kidogo. Sasa inakuwaje?
Private chat ikimwagika kama hivi inakuwa bomba zaidiTuma PM mkuu
Inawezekana kweli?Sheria haziruhusu wachangiaji "kuvutana chemba"!
Huyo unayehitaji 'kumvuta chemba' mwambie muende Jf live chat ipo hapo juu,mkifika huko click jina lake na mtakuwa chemba 'wawili tu'.Hii chat naiona iko general sana kama ilivyokusudiwa. Kuna wakati unahitaji kumvuta mdau chemba kidogo. Sasa inakuwaje?