Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,162
Ha ha ha ha, mie nikipika zinasimama kama mfuniko wa sefuria
Nikimbambula nazo mtu anapata ngeu
Nikimbambula nazo mtu anapata ngeu
Habari jf chefs,ninatatzo moja kila nikipika chapati za kusukuma zinakua ngumu nawakati mwingne znakatikakatika nataman nipike chapati yani ukiiweka mdomoni ufurah mwenyewe.plz nsaidieni nimsuprize huyu shemej yenu weekend hii afu namwekea na rost la maini