Chanzo cha watoto kuchukia baba zao

unajua si marazote wakinababa wanakuwa wakorofi. Ila huwa wanasimama katika misingi ya kujenga familia na kuwa wakali pale mtoto anapotenda kosa. Hii tayari hujenga hali ya kuogopwa. Ila mama anapoongezea neno. Basi mtoto huwa kama amewekwa catalyst
Tatizo mojawapo ni Nyumba ndogo na huo ukali. Wewe kama mzazi huna hati miliki ya mtotot, mwenye hati miliki ni Mungu ambaye anaweza kuichukua hiyo hati miliki muda wowote. Sasa suala la kijifanya mkali eti unafundisha tabia wakati haohao watoto ndiyo rafiki zako wa karibu na ukweli haijalishi, wakikuchukia au kutokuwa karibu na wewe usianze kulalamika.
 
Mimi experience yangu ni kwamba watoto wangu wote wananipenda na kuniheshimu sana, lakini kwa ukaribu, watoto wa kike wako karibu zaidi na mimi na wa kiume na mama yao. Usiniulize sababu maana hata mimi sijui.
 
like like like


↲
Huu utafiti uliufanyia wapi na lini?, usilete uzi wa hisia hapa! Watoto wanampenda baba kwa upendo unaostahili, na hivyo hivyo kwa mama. Sema labda wanaweza kuwa karibu na mama zaidi kuliko baba kwenye familia ambazo mama anapika lakini zile ambazo anapika dada, watoto wanawaona wazazi wote sawa tu!
 
..........Mtu hawezi kumchukia baba yake bila sababu,ukiona hivyo kuna sababu.

-Inawezekana alizaliwa nje ya ndoa na hapohapo baba hakutoa huduma yoyote ile.
mzigo wote alimuachia mama yake. Je mtu wa dizaini hii atampenda kweli baba yake?

-Kuna wengine wamezaliwa ndani ya ndoa, ila baba alikuwa hamtreat mama yao vizuri.
Hata baba hakuwa kichwa cha nyumba, vitu vyote anamuachia mama. Hajui majukumu yake
je huyu naye baba wa kupendwa na watoto?

Kama baba anampenda mkewe, anamuhudumia ipasavyo. Anapenda watoto wake,

Anatafuta muda wa outing/kukaa na familia yake pamoja (kama baba yangu). Baba anayeipa family priority, je baba wa dizaini hii atachukiwa kweli? Be responsible father uone utakavyopendwa na watoto wako.



Happy father's day!!
 
Back
Top Bottom