Chanzo cha Vijambo na Kucheua

Mhafidhina

JF-Expert Member
Feb 6, 2008
549
22
Wanajamvi mpo, salam aleikum...!

Leo naomba kupata ushauri wa kidaktari (kitabibu)

Nini chanzo cha vijambo na kucheua? KUna dawa ya kupunguza/kukomesha kucheua na kujamba?

Hilo tu ndio swali langu...! Asanteni...!
 
kwa lugha yako tu kama hii, kuongea bila hata aibu, inaonyesha kabisa wewe umetoka msikitini kuinama na kuswali. bila shaka. kwanini usitumie tafsida?
 
Back
Top Bottom