Chanzo cha mto Nile kipo Tanzania?

Kuna watu humu wanavichwa vigumu hata uwaeleze vipi hawakuelewi ngoja nisepe zangu humu
 
The Boss, hii Ni topic nzito Sana and it needs a bible of explanation, just, think from the Congo river . To Burundi then Rwanda . Harafu Victoria . Upande mwingine n the Nile . It's more geographical na earth movements. Seismological survey ina all the answers you can possibly need. Ndo maana Uganda wana mafuta . Sisi hakuna , inategemea na earth movement kule chini kukoje, every river has a source na source Ya Nile iko upande wa pili wa Victoria , n Sawa na lake tanganyika, **** trench chini yake inatokea Japan. Hizi n geographical facts. Otherwise you ll need to understand how we find oil or gas, KWA nn irag has the purified oil ever.


Acha waganda waseme yao, but the know the fact. N Sawa na Kenya kasema klm n yao

Hii khabari ya Lake Tanganyika na Japan inabidi utuelezee vizuri, somo jipya hili kwangu nahisi itakuwa na kwa wengi pia.

Imenikumbusha kuwa asili ya watu wa Fiji ni Tanganyika tena walitokea hukohuko lake Tanganyika.

Unaona mambo hayo sasa.

Fijians believe that they originated from the shores of Lake Tanganyika ("fish bag" in Fijian) situated on the western border of Tanganyika (East Africa). Fable records that Lutunasobasoba, a powerful chief and navigator, guided his people in their huge ocean going canoes to their final landing place at Vuda (our source) on Viti Levu's western coast near Ba. Interestingly, one of the largest coastal river systems in Tanganyika (now Tanzania) is the Rufiji- made famous by the German Cruiser, the SMS Konigsberg, and von Lettow Vorbeck, the German General who kept the British Allies on the run throughout World War One.

Source: Chronological History of Tanganyika (Tanzania)
 
The Boss, hii Ni topic nzito Sana and it needs a bible of explanation, just, think from the Congo river . To Burundi then Rwanda . Harafu Victoria .

Kwa nini Watanzania wengi hatuwezi ku-explain masuala scientifically bila kumhusisha Mungu? Kwenye huu uzi tumeambiwa Mungu ana-reside Tanzania. Tukaambiwa chanzo cha mto Nile ni ziwa Victoria.

Halafu tukaambiwa kuwa Kikwete ndo aliyefanya "ubabe na kuyavuta [maji ziwa Victoria na] kuyapeleka Shinyanga na Sasa Tabora na kwingine....Kikwete ... akasema aahh, ujinga huu, watu wetu wana shida ya maji, maji yako kwetu, halafu tusiwapelekee? akaamuru miradi ianzishwe na watu wapelekewe maji. Naam, sasa hivi tunaona maji yakisambazwa kutokea Victoria kwenda Shinyanga na Tabora kwa ubabe wa Kikwete."

Sasa wewe unasema chanzo cha mto Nile ni "topic nzito Sana and it needs a bible of explanation". Sitashangaa wewe au mtu mwingine kuja na bible explanation hapa kuwa Bibilia inasema pia mto Nile utakauka kwani ni kweli Bibilia inasema hivyo (Isaiah 19:5, Ezekiel 30:12, Zechariah 10:11).

Utakauka kivipi? Atadai Bibilia inasema ziko njia nyingi za huo mto kukauka (Isaiah 11:15). Kwamba Mungu mwenyewe anayedaiwa ku-reside Tanzania anaweza kuukausha mwenyewe au atatokea mtu na kubadilisha mkondo wa mto kama historia inavyoonyesha pale Darous alivyovamia Babylon na kubadilisha mkondo wa Euphrates.

Au kama Hezekiah alivyofanya kwenye 2 Chronicles 32:3 (He consulted with his officials and military staff about blocking off the water from the springs outside the city, and they helped him).

Hapa wanaotumia "bible explanation" waunganisha dots na kutakuta kwamba lawama zote za kukauka kwa Nile zinaweza kumwangukia Kikwete kwa kuwa mbabe kuyavuta maji na kuyapeleka Shinyanga, Tabora na kwingineko.

Halafu utakuta wanatoa hiyo "bible explanation" wanatoka huko huko S
hinyanga, Tabora na kwingineko Kikwete alikovutia maji kutoka chanzo cha mto Nile na kusababisha huo mto kukauka.
 
Hii khabari ya Lake Tanganyika na Japan inabidi utuelezee vizuri, somo jipya hili kwangu nahisi itakuwa na kwa wengi pia.

Imenikumbusha kuwa asili ya watu wa Fiji ni Tanganyika tena walitokea hukohuko lake Tanganyika.

Unaona mambo hayo sasa.

Fijians believe that they originated from the shores of Lake Tanganyika ("fish bag" in Fijian) situated on the western border of Tanganyika (East Africa). Fable records that Lutunasobasoba, a powerful chief and navigator, guided his people in their huge ocean going canoes to their final landing place at Vuda (our source) on Viti Levu's western coast near Ba. Interestingly, one of the largest coastal river systems in Tanganyika (now Tanzania) is the Rufiji- made famous by the German Cruiser, the SMS Konigsberg, and von Lettow Vorbeck, the German General who kept the British Allies on the run throughout World War One.

Source: Chronological History of Tanganyika (Tanzania)

FaizaFoxy huyo mdau ungemuacha tu. Lake Tanganyika halina mahusiano hata na bahari ya hindi! itakua Japani?
 
Mkuu EMT, HUKUNIELEWA, NILIPOSEMA IT'S NEEDS A BIBLE EXPLANATION, nilimaanisha Kwamba ili mtu akuelewe, unahitaji kuwa na kurasa nyingi Kama bibilia, najua unajua n nyingi kiasi gani. Kama huna basic knowledge ya geography, seismology na crust and rock formation kule chini,mits hard to get the concept.



Kwa nini Watanzania wengi hatuwezi ku-explain masuala scientifically bila kumhusisha Mungu? Kwenye huu uzi tumeambiwa Mungu ana-reside Tanzania. Tukaambiwa chanzo cha mto Nile ni ziwa Victoria.

Halafu tukaambiwa kuwa Kikwete ndo aliyefanya "ubabe na kuyavuta [maji ziwa Victoria na] kuyapeleka Shinyanga na Sasa Tabora na kwingine....Kikwete ... akasema aahh, ujinga huu, watu wetu wana shida ya maji, maji yako kwetu, halafu tusiwapelekee? akaamuru miradi ianzishwe na watu wapelekewe maji. Naam, sasa hivi tunaona maji yakisambazwa kutokea Victoria kwenda Shinyanga na Tabora kwa ubabe wa Kikwete."

Sasa wewe unasema chanzo cha mto Nile ni "topic nzito Sana and it needs a bible of explanation". Sitashangaa wewe au mtu mwingine kuja na bible explanation hapa kuwa Bibilia inasema pia mto Nile utakauka kwani ni kweli Bibilia inasema hivyo (Isaiah 19:5, Ezekiel 30:12, Zechariah 10:11).

Utakauka kivipi? Atadai Bibilia inasema ziko njia nyingi za huo mto kukauka (Isaiah 11:15). Kwamba Mungu mwenyewe anayedaiwa ku-reside Tanzania anaweza kuukausha mwenyewe au atatokea mtu na kubadilisha mkondo wa mto kama historia inavyoonyesha pale Darous alivyovamia Babylon na kubadilisha mkondo wa Euphrates.

Au kama Hezekiah alivyofanya kwenye 2 Chronicles 32:3 (He consulted with his officials and military staff about blocking off the water from the springs outside the city, and they helped him).

Hapa wanaotumia "bible explanation" waunganisha dots na kutakuta kwamba lawama zote za kukauka kwa Nile zinaweza kumwangukia Kikwete kwa kuwa mbabe kuyavuta maji na kuyapeleka Shinyanga, Tabora na kwingineko.

Halafu utakuta wanatoa hiyo "bible explanation" wanatoka huko huko S
hinyanga, Tabora na kwingineko Kikwete alikovutia maji kutoka chanzo cha mto Nile na kusababisha huo mto kukauka.
 
Kwa nini Watanzania wengi hatuwezi ku-explain masuala scientifically bila kumhusisha Mungu? Kwenye huu uzi tumeambiwa Mungu ana-reside Tanzania. Tukaambiwa chanzo cha mto Nile ni ziwa Victoria.

Halafu tukaambiwa kuwa Kikwete ndo aliyefanya "ubabe na kuyavuta [maji ziwa Victoria na] kuyapeleka Shinyanga na Sasa Tabora na kwingine....Kikwete ... akasema aahh, ujinga huu, watu wetu wana shida ya maji, maji yako kwetu, halafu tusiwapelekee? akaamuru miradi ianzishwe na watu wapelekewe maji. Naam, sasa hivi tunaona maji yakisambazwa kutokea Victoria kwenda Shinyanga na Tabora kwa ubabe wa Kikwete."

Sasa wewe unasema chanzo cha mto Nile ni "topic nzito Sana and it needs a bible of explanation". Sitashangaa wewe au mtu mwingine kuja na bible explanation hapa kuwa Bibilia inasema pia mto Nile utakauka kwani ni kweli Bibilia inasema hivyo (Isaiah 19:5, Ezekiel 30:12, Zechariah 10:11).

Utakauka kivipi? Atadai Bibilia inasema ziko njia nyingi za huo mto kukauka (Isaiah 11:15). Kwamba Mungu mwenyewe anayedaiwa ku-reside Tanzania anaweza kuukausha mwenyewe au atatokea mtu na kubadilisha mkondo wa mto kama historia inavyoonyesha pale Darous alivyovamia Babylon na kubadilisha mkondo wa Euphrates.

Au kama Hezekiah alivyofanya kwenye 2 Chronicles 32:3 (He consulted with his officials and military staff about blocking off the water from the springs outside the city, and they helped him).

Hapa wanaotumia "bible explanation" waunganisha dots na kutakuta kwamba lawama zote za kukauka kwa Nile zinaweza kumwangukia Kikwete kwa kuwa mbabe kuyavuta maji na kuyapeleka Shinyanga, Tabora na kwingineko.

Halafu utakuta wanatoa hiyo "bible explanation" wanatoka huko huko S
hinyanga, Tabora na kwingineko Kikwete alikovutia maji kutoka chanzo cha mto Nile na kusababisha huo mto kukauka.

Usiniangushe bana by "needs a bible of explanation" its simply an expression which means "it needs a lot of explanation", I dont think he meant God has to be involved.
 

Dah! Nyerere alikuwa haambiliki kweli, alishalewa madaraka mpaka akajidhani kuwa yeye ni mungu mtu bila kujielewa.

Hilo kubali ama kataa lakini ndiyo ukweli.
 
Madai ya kwamba chanzo chake ni Tz kweli yapo hata mimi niliskia. but ukweli wa madai hayo ni mdogo sana!!!!

Actualy ni tabia ya mito kufungamana ktk misimu ya mvua kali.

Ule mto unavyanzo (channels) vingi, but kwa ukanda wa huku Afrika mashariki na kati CHANZO CHAKE KIPO UGANDA.

kwanini nasema hivyo?

1. Ukirefer scramble of African continent (before partition = before 1884-5) iliyofanywa na wakoloni, kuna Expert wawili (majina nimesahau) walitrace river nile na kufikia ukingoni UGANDA, na hapo ndipo walipopiga kambi na kufanya mambo mengine ili kuhakikisha Uganda inatawaliwa. Jaribu kugugo Uganda preclude to colonialism.

2. Googe map inaonesha chanzo kipo Uganda, chazo cha mto nile kinapatikana kilometer chache kabla ya kufikia Lake Albert. ambapo ziwa likijaa maji hutoka na kuungana na hicho chanzo.

The Boss Ingia kwa google map ujionee mwenyewe.

Point yako namba 2 makes sense to me. Kuna wakati nilitembelea Uganda (ule mji unaitwa Jinja kama sijasahau) na mojawapo ya sehemu nilipopelekwa ni source of river Nile.Kilichonishangaza ni kwamba ile sehemu nilipoambiwa ndiyo source tayari kuna maji yanapita hapo yakiwa yametoka sehemu nyingine(mto na yanapita chini ya daraja kubwa tu kabla ya kufika hapo),nikawaza kwamba yule jamaa mwongozaji anatuingiza chaka na hakuweza kunielezea vizuri zaidi ya kunitajia jina la mzungu fulani kwamba yeye ndiye aliyegundua na it's documented, mimi niliamua kupuuza na kubaki na msimamo wangu kwamba chanzo kipo Tanzania. Na kule Uganda hiyo ni mojawapo ya vivutio vya watalii
 
FaizaFoxy huyo mdau ungemuacha tu. Lake Tanganyika halina mahusiano hata na bahari ya hindi! itakua Japani?

Nnadhani anacho cha kutufundisha hapa, maana ilmu ni bahari kubwa sana. Kuna uwezekano ipo relation, usilolijuwa ni usiku wa kiza, wacha atupe darsa ya hilo. Kama hatukuridhika ni baada ya kumsikiliza lakini si kabla.
 
Mkuu EMT, HUKUNIELEWA, NILIPOSEMA IT'S NEEDS A BIBLE EXPLANATION, nilimaanisha Kwamba ili mtu akuelewe, unahitaji kuwa na kurasa nyingi Kama bibilia, najua unajua n nyingi kiasi gani. Kama huna basic knowledge ya geography, seismology na crust and rock formation kule chini,mits hard to get the concept.

Asante kwa ufafanuzi maana nilidhani unaelekea kule kule kwa kujadili kwa imani.

Hapo nitakubaliana na wewe kuwa it is not simply a matter of three men racing with cars to discover the source of River Nile.
 
Usiniangushe bana by "needs a bible of explanation" its simply an expression which means "it needs a lot of explanation", I dont think he meant God has to be involved.

Wengine Kingereza ni lugha ya nne. Nilivyoona "bible" hapo nidhani anatupeleka kwenye masuala ya "River Nile na Holy Water".
 
Point yako namba 2 makes sense to me. Kuna wakati nilitembelea Uganda (ule mji unaitwa Jinja kama sijasahau) na mojawapo ya sehemu nilipopelekwa ni source of river Nile.Kilichonishangaza ni kwamba ile sehemu nilipoambiwa ndiyo source tayari kuna maji yanapita hapo yakiwa yametoka sehemu nyingine(mto na yanapita chini ya daraja kubwa tu kabla ya kufika hapo),nikawaza kwamba yule jamaa mwongozaji anatuingiza chaka na hakuweza kunielezea vizuri zaidi ya kunitajia jina la mzungu fulani kwamba yeye ndiye aliyegundua na it's documented, mimi niliamua kupuuza na kubaki na msimamo wangu kwamba chanzo kipo Tanzania. Na kule Uganda hiyo ni mojawapo ya vivutio vya watalii

Nakupata vyema mkuu, in short starting point haijulikani but it believed ipo Uganda. Tz inaconnection ndogo sana na ule mto.
 
Kuna kipindi tz ilitaka kuyatumia maji ziwa victoria kwa ajili ya matumizi ya majumbani basi nchi ya misri na sudani pamoja na ethiopia zikazua vikwazo sasa wewe unayebisha source ya nile ni victoria haya tuelezeni source zenu
 
Inasemekana kuna underground sources nyingi sana zinai feed Victoria na nyingi zaidi zipo Tanzania kuliko mito tunayoiona juu. Makes a lot of sense to me.

About 80% of lake victoria water is from precipitation (Rain), only about 20% is from rivers. Kwa wingi wa mito inayoingiza maji ziwani, Kenya inaongoza, ikifuatiwa na TZ .
These are facts, you can crosscheck with Lake victoria basin office in Mwanza, Kisumu or Jinja.
 
About 80% of lake victoria water is from precipitation (Rain), only about 20% is from rivers. Kwa wingi wa mito inayoingiza maji ziwani, Kenya inaongoza, ikifuatiwa na TZ .
These are facts, you can crosscheck with Lake victoria basin office in Mwanza, Kisumu or Jinja.

Lakini the mammoth reservoir ya hilo lake hata kwenye ramani tu ipo Tanzania, au siyo? A bit more than half of the lake is in Tanganyika. the rest is divided between Kenya and Uganda.
 
M

Kuan mwingine shoga'ngu anaishi Sinza, anasema hawajawahi kuona maji bombani kwa miaka kabla ya Kikwete, lakini leo mwaka wa tatu, anasema maji yanapanda mpaka juu ya matenki yenyewe bila pampu. Huoni kuwa ni maisha bora hayo?

Akiondoka Kikwete, In sha Allah, ntakuwa upande wa yeyote yule anaefanya kweli halafu anaonewa. Bure.



Bi Faiza kila kitu ni Kikwete tu? Tayari ushaanza kupindisha mada toka source ya Nile kuwa mdahalo wa ufanisi wa Kikwete.... heeee huo sio upambe tena .... it borders on maniacal reverence!!

Just so as you know, nilinunua nyumba K'nyama 1995, kivutio kimojawapo ni kuona kuna bomba la maji nje (free public water) linatoa maji masaa 24 seven days a week!! Kwa miaka saba iliyopita, toka aingie huyo mheshimiwa madarakani, tuna bahati kupata maji mara mbili kwa wiki kwa mda usiozidi saa mbili. Tunaamka saa tisa za usiku kungojea kupump maji.

Sasa nijuavyo na nilivyosoma, source ya Nile, iko toka mto Kagera kuingia Lake Vic.
Ukiwa angani kwenye ndege, unaweza kutofautisha kabisa rangi za maji ikionesha mto unaenda katikati ya ziwa na kumalizikia Jinja, out as the white nile. Nimeona hivyo kwa macho yangu enzi za late 70's. nikiwa na mkufunzi wangu.
Maji ya mto yana rangi kidogo na ya ziwa yako more clearer!
 
Back
Top Bottom