Chanzo cha mto Nile kipo Tanzania?

Nisome vizuri, nimeandika Mkapa alilianzisha, naam aliuanzisha, lakini mradi ulisimamishwa baada ya wa Egypt kuja kulalamika sana na mwishowe wakaleta mitambo yakuchimbia visima badala ya kuyavuta maji kutoka Victoria. Mradi ukarudishwa tena na Kikwete.

Sina sababu ya kudanganya, ili iweje?

Acha kupotosha ndugu, mradi wa Victoria kwenda Kahama na Shinyanga ulikamilika kipindi cha mkapa. Kikwete aliuzindua tu katika mwaka wake wa kwanza madarakani.
 
Hapa unatudanganya alievuta maji ni Mkapa,Lowasa akiwa waziri wa maji
Asante Victorie kumweka sawa huyu bibie aliyelewa tabasamu la Kikwete. Yuko radhi kutumia uwongo ili mradi kumwonyesha Kikwete kuwa kafanya la maana. Kumbe maji ya Shinyanga yalivutwa enzi za Mkapa. Duuh!
 
Acha kupotosha ndugu, mradi wa Victoria kwenda Kahama na Shinyanga ulikamilika kipindi cha mkapa. Kikwete aliuzindua tu katika mwaka wake wa kwanza madarakani.

Inawezekana kwa kuuzinduwa upo sahihi kabisa. Kwani wakati wa Mkapa ulikwama. Kikwete ndiye alikuja uanzisha tena na ulikwisha na kufunguliwa rasmi mwaka 2009 na kufunguliwa na Kikwete na Mkapa alialikwa. Hapo ilikuwa ni ndani ya miaka 4 ya utawala wa Kikwete.

Kama nilivyokueleza awali, Mkapa aliuanzisha lakini ukakwama na ukaleta mzozo mkubwa na Egypt, mpaka Mkapa anaondoka madarakani ulikuwa umesimama kabisa. Kikwete akaja kuuanzisha tena alipokuja madarakani kama ulivyokiri mwenyewe hapo juu.

Kumbuka pia wakati wa mzozo wote na Egypt, Kikwete ndiyo alikuwa Waziri wa Mambo ya nje.

Sijuwi unachobisha ni nini?
 
Inawezekana kwa kuuzinduwa upo sahihi kabisa. Kwani wakati wa Mkapa ulikwama. Kikwete ndiye alikuja uanzisha tena na ulikwisha na kufunguliwa rasmi mwaka 2009 na kufunguliwa na Kikwete na Mkapa alialikwa. Hapo ilikuwa ni ndani ya miaka 4 ya utawala wa Kikwete.

Kama nilivyokueleza awali, Mkapa aliuanzisha lakini ukakwama na ukaleta mzozo mkubwa na Egypt, mpaka Mkapa anaondoka madarakani ulikuwa umesimama kabisa. Kikwete akaja kuuanzisha tena alipokuja madarakani kama ulivyokiri mwenyewe hapo juu.

Kumbuka pia wakati wa mzozo wote na Egypt, Kikwete ndiyo alikuwa Waziri wa Mambo ya nje.

Sijuwi unachobisha ni nini?


Acha uongo na kujipendekeza kwa Salma..
 
Wa ndugu, ziwa Victoria hutumika kama beseni la kukusanyia maji kutoka sehemu mbali mbali za Afrika ya Mashariki kwa njia ya mito na vjito. Beseni hili likijaa ni lazima kucheua kwa kumwagika. Pale yanapomwagikia maji ya ziwa au beseni hili ndipo kilipo chanzo cha mto Nile.

Tarehe 26 December 2014 nilikuja katika mji wa Jinja kule Uganda, nilitamani kutembelea sehemu maarufu za mjini huo. Kwa bahati nzuri nikapelekwa pale panaposemwa kuwa ndipo kilipo chanzo cha mto Naili.

Nilifika. Nikapanda mtumbwi ili kwenda kuoneshwa kilipo chanzo cha mto huo. Nikafika, ukingoni kabisa mwa ziwa Victoria. Pale pana chemchem kubwa kama kama zaidi ya chumba cha mitaani 4 kwa 4 ambalo hili ni chemchem linalofurisha maji toka aridhini na kuanza safari ndefu ya kuelekea Sudan ya Kusini na baadaye Sudan , Misri na kisha baharini.

Si hivo tu, mbali na shimo hilo ambalo huchangia maji yake kwa 35% , ziwa pia hupunguzia au hutemea au huwagia maji yake sehemu hiyo hiyo na hapo hapo kwa asilimia 65 zilizo baki. Shimo hilo na umwagaji wa ziwa hufanyikia hapo hapo. Ni ajabu kubwa kama ukifikiria uumbaji wa Ki Mungu ulivo. Ndo maana dada yetu Faiza Foxy kaleta kichekesho cha mjapani aliyekuja kufanya PhD yake kwa miaka 6 badala ya miezi siku, kwa ajili ya kushangaa uumbaji wa Mungu
 
Kwani Mto Kagera unaoingi Ziwa Nyanza unaanzia wapi? Sio Rwanda. Inawezekana mtu kaitaja Rwanda hapa, na siaona maana sijasoma kila kitu, lakini kwa mantiki ya hija hapa naona inawezekana tunapigia debe Rwanda?
 
Mbona hilo liko wazi kabisa na linajulikana siku nyingi.
ndio, leo nimegundua wewe ni mchoyo wa maarifa. Unapenda uwe unajua mambo peke yako na kuishia kutuuliza ikiwa sisi tulienda kusomea ujinga.
Majibu yako huwa mafupi, yakiacha maswali mengi kuliko majibu na unafanya hivyo kwa makusudi.... kitu pekee ambacho huwa unazingatia ni kukosoa tu uandishi ila ujuzi mwingine wewe ni mchoyo sana wa maarifa.
Ndio, leo nimekuchana mubashara
 
Ç
Nilitazama kipindi cha TOP GEAR naona mwisho wanadai kuipata the 'true source ya mto Nile' kuwa iko Tanzania
kuna anaejua more kuhusu hili?

Top Gear (series 19) - Wikipedia, the free encyclopedia
Chanzo kipo Burundi. Actually nimefika mwenyewe 2012 lakini picha zangu zilipotea na hard drive. Serikali ya Burundi inakitunza chanzo hicho ambapo Nile Basin inakikutana na Congo Basin. Hapa namaanisha drainage systems mbili za mito hiyo mikubwa. Once nikiokoteza picha mojawapo niliyopiga huko naweza kukupatia
 

Attachments

  • FB_IMG_1480869012124.jpg
    FB_IMG_1480869012124.jpg
    50 KB · Views: 37
Wa ndugu, ziwa Victoria hutumika kama beseni la kukusanyia maji kutoka sehemu mbali mbali za Afrika ya Mashariki kwa njia ya mito na vjito. Beseni hili likijaa ni lazima kucheua kwa kumwagika. Pale yanapomwagikia maji ya ziwa au beseni hili ndipo kilipo chanzo cha mto Nile.

Tarehe 26 December 2014 nilikuja katika mji wa Jinja kule Uganda, nilitamani kutembelea sehemu maarufu za mjini huo. Kwa bahati nzuri nikapelekwa pale panaposemwa kuwa ndipo kilipo chanzo cha mto Naili.

Nilifika. Nikapanda mtumbwi ili kwenda kuoneshwa kilipo chanzo cha mto huo. Nikafika, ukingoni kabisa mwa ziwa Victoria. Pale pana chemchem kubwa kama kama zaidi ya chumba cha mitaani 4 kwa 4 ambalo hili ni chemchem linalofurisha maji toka aridhini na kuanza safari ndefu ya kuelekea Sudan ya Kusini na baadaye Sudan , Misri na kisha baharini.

Si hivo tu, mbali na shimo hilo ambalo huchangia maji yake kwa 35% , ziwa pia hupunguzia au hutemea au huwagia maji yake sehemu hiyo hiyo na hapo hapo kwa asilimia 65 zilizo baki. Shimo hilo na umwagaji wa ziwa hufanyikia hapo hapo. Ni ajabu kubwa kama ukifikiria uumbaji wa Ki Mungu ulivo. Ndo maana dada yetu Faiza Foxy kaleta kichekesho cha mjapani aliyekuja kufanya PhD yake kwa miaka 6 badala ya miezi siku, kwa ajili ya kushangaa uumbaji wa Mungu
Kwa technology ilivyo shamiri ata ka video ulishindwa mkuu.
 
Long time kitambo Secondary yenyewe tulifundishwa chanzo chake ni Tanzania LAKE VICTORIA...then unaenda hadi Red Sea

Mkuu, unameza kila ulichofundishwa, Mto Nile unaingia Bahari ya Mediterranian sio Red Sea, tazama kwenye ramani ya Afrika au Dunia.

Vv
 
Ikumbukwe kuwa Tanzania ilikuwa hairuhusiwi kutumia kwa kuyavuta kuyasafirisha maji ya Victoria mpaka kwa idhini ya Egypt.

Kikwete akafanya ubabe na kuyavuta kuyapeleka Shinyanga na Sasa Tabora na kwingine.

Alilianzisha Mkapa, Wamisri wakaja juu, wakakubaliana watakuja kuchimba visima badala ya kutumia Victoria maji kwao tyatappunguwa wakaleta mpaka mitambo ya kuchimbia visima, Mkapa akagwaya (sijui alipenyezewa rupia, maanake Mkapa nae ndiyo chanzo cha ufisadi wote mkubwa Tanzania).

Kikwete kuja akasema aahh, ujinga huu, watu wetu wana shida ya maji, maji yako kwetu, halafu tusiwapelekee? akaamuru miradi ianzishwe na watu wapelekewe maji. Naam, sasa hivi tunaona maji yakisambazwa kutokea Victoria kwenda Shinyanga na Tabora kwa ubabe wa Kikwete.

Halafu kuna watu wanajidai "oooh Kikwete kafanya nini?", waulizeni wanaopata maji ya Victoria sasa hivi Kikwete kafanya nini.

Duh hii sasa kufuru,yaani unataka kutudanganya hata sisi vijana wa zamani.Mradi wa maji lake victoria ulianzishwa chini ya utawala wa Mkapa wakati huo Lowassa akiwa waziri wa maji na msaidizi wake akiwa Anthony Dialo Kikwete akihudumu wizara ya nje na ushirikiano wa kimataifa.

Kikwete alipokuwa Rais tayari mradi ulishakamilika na kulikuwa na mpango wa kuongeza lita za ujazo chini ya utawala wa Kikwete waziri wa Maji akiwa Jumanne Maghembe lakini waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Bwana Membe akaungana na waarabu kuupinga huo mradi.
 
Duh hii sasa kufuru,yaani unataka kutudanganya hata sisi vijana wa zamani.Mradi wa maji lake victoria ulianzishwa chini ya utawala wa Mkapa wakati huo Lowassa akiwa waziri wa maji na msaidizi wake akiwa Anthony Dialo Kikwete akihudumu wizara ya nje na ushirikiano wa kimataifa.

Kikwete alipokuwa Rais tayari mradi ulishakamilika na kulikuwa na mpango wa kuongeza lita za ujazo chini ya utawala wa Kikwete waziri wa Maji akiwa Jumanne Maghembe lakini waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Bwana Membe akaungana na waarabu kuupinga huo mradi.


Wakati wa Mkapa walikubaliana kuwa badili ya kuchukuwa maji ya Victoria, Wamisri watachimba visima.

Kumbuka hilo.
 
Kamsifu Kikwete kama waziri wa mambo ya nje haaa haaaa.


Kitu ambacho huelewi ni kuwa Maarais wote wa kabla wamelishughulikia hilo suala lakini aliyezesha miradi kufanyika ni Kikwete. Kumbuka hilo.

Ni kama barabara ya Dodoma - Singida - Shinyanga. Mkapa kaiongelea kaingia madarakani mpaka kaondoka, Kikwete alivyoingia tu madarakani akishikia bango mpaka akawa anenda mara kwa mara Manyoni, matokeo?

Wakati wa Kikwete ndiyo watu wakaanza kupata ahueni ya kuzunguka Kenye kutoka Tanzania kwenda Tanzania.

Miradi ya Ziwa Victoriaa hali kadhalika, Kikwete kaweza.

Kama vile umeme, nano asiyeelewa kuwa kila Rais kalizungumzia lakini Kikwete karithi nchi ipo taabani kwa umeme, kapambana nayoooooo, Kikwete huyo mpaka kabla hajaondoka tukapata ahueni ya hali ya juu kuhusu umeme.

Kikwete tutamkumbuka daima.
 
Back
Top Bottom