Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Si kweli Rais hawezi kulinda waovu lakini pia Serikali haiongozwi na kila mtu akiamka simamisheni Jaifo, Lumbanga, Mponda kuna taratibu zake kwani kuna mihimili 3 Mahakama, Bunge na Serikali hivi haviingiliani.Lakini kila Kikao kikao cha Bunge lazima hoja lazima kiongozi aambiwe JIUZULU kazi ya Bunge ni kutunga Sheria na kushauri sio kulazimisha au kusema Waziri Mkuu jiuzulu itafuata sasa Rais ambapo naye atavunja Bunge hapo lengo ni nini? Wabunge wengi wamesoma Public Law hata kidato cha 2 somo la Uraia, Magazeti leo yamedokeza Mtaalam wa Siasa UDSM Bw Bana.amesema Bunge ni kutunga. Sheria ntalifuatilia Gazeti hilo namalizia nihukumiwe lkn sio Wabunge wawasimamishe Waziri mkuu au Mawaziri wote 8 wao ndio wamewachagua? Rais atalibadili tu baadhuu ya sura hilo Baraza kabla ya June 12
Mkuu hiyo mihimili unayosema zipo kinadharia tu, kiuhalisia tayari uhuru wao umeshabakwa na mtu moja ambaye ni rais anayetuhumiwa katika kila idara.
Hizo taratibu unazozisema kwamba lazima zifuatwe ingekuwa sawa kama mihimili yote ina uhuru wa kutoa maamuzi.
Kilichopo ni kwamba rais anajua hata kama utaenda kushtaki mahakamani, mahakama inatoa hukumu kwa maelekezo ya rais.
Amka Mkuu umeshaliwa mchana kweupe