Chanzo cha kufungiwa kwa mabasi ya Dar Express ni Ridhiwan JK

Kwa maoni yangu binafsi, taarifa hii haiwezi kuwa sahihi. Haya ni majungu yenye lengo la kujenga fitna na chuki dhidi ya hiyo kampuni mpya.

Usafirishaji abiria hapa nchini unahusisha mabasi zaidi ya 1,000. Hivyo hicho kikamouni kipya na vibasi vyake 40 sio tishio mpaka wapike zengwe kwa Dar Express kufungiwa.

Kama kweli lengo la hicho kikampuni kioya ni kuweka kauzibe kwa makampuni mengine, zengwe hili lingepigwa kwa Sumry mwenye mabasi zaidi ya 100 yanayokwenda nchi nzima na nje ya nchi na sio Dar Express mwenye route moja tuu ya Moshi, Arusha!.

Sumatra wakifungia chochote, wanafunga kwa vigezo ambayo viko wazi na sio kwa majungu. Dar Express wanajua ukweli na kama wanajihisi wanaonewa, mamlaka ya rufaa ya Sumatra ni Baraza la Ushindani au waende mahakamani.

Wana jf wenzangu, ili kulinda hadhi ya jf kugeuka kijiwe cha fitna na majungu, habari kama hiza ambazo hazina mantiki ziwekwe kwenye jukwaa la jokes ili isomeke kama jokes.

Hujui usemalo wewe,pengine ndiyo miongoni mwa wale mafisadi wanayoihujumu nchii,wewe kama ulishawahi kufanya Biashara usingesema haya madudu,fitina katika biashara huwa ipo,na kampuni ya Dar Express kwa mikoa ya kaskazini ni tishio kutokana na ubora wa huduma anayotoa.Swala hapo siyo wingi wa mabasi bali ni ubora wa huduma itolewayo na kampuni husika.
Huyo kijana wa muheshimiwa siyo Kampuni ya kwanza kaumiliki hapa nchini,kuna kampuni moja ya malori ya kubeba mafuta ama ni ya kwake100% au ana hisa katika kampuni hiyo. yapo mengi tu lakini kama alivyosema mjumbe mmoja ni swala la wakati tu mtakuja kuyaona na kuyajua vizuri.
 
Hawa sumatra kazi imewashinda badala ya kusimamia usafiri sasa wanafanya marketing ya makampuni ya mafisadi wenzao- rushwa inanikia katika hili ila wangejua moja kuwa wasfiri wako barabarani siku zote na wanajua nani msafirishaji mzuri na mbabaishaji na chinjachinja - mnajisumbua
 
Kwa maoni yangu binafsi, taarifa hii haiwezi kuwa sahihi. Haya ni majungu yenye lengo la kujenga fitna na chuki dhidi ya hiyo kampuni mpya.

Usafirishaji abiria hapa nchini unahusisha mabasi zaidi ya 1,000. Hivyo hicho kikamouni kipya na vibasi vyake 40 sio tishio mpaka wapike zengwe kwa Dar Express kufungiwa.

Kama kweli lengo la hicho kikampuni kioya ni kuweka kauzibe kwa makampuni mengine, zengwe hili lingepigwa kwa Sumry mwenye mabasi zaidi ya 100 yanayokwenda nchi nzima na nje ya nchi na sio Dar Express mwenye route moja tuu ya Moshi, Arusha!.

Sumatra wakifungia chochote, wanafunga kwa vigezo ambayo viko wazi na sio kwa majungu. Dar Express wanajua ukweli na kama wanajihisi wanaonewa, mamlaka ya rufaa ya Sumatra ni Baraza la Ushindani au waende mahakamani.

Wana jf wenzangu, ili kulinda hadhi ya jf kugeuka kijiwe cha fitna na majungu, habari kama hiza ambazo hazina mantiki ziwekwe kwenye jukwaa la jokes ili isomeke kama jokes.


Kaka pole. Bado una moyo wa kushindana na kizazi cha Tuhuma na Hisia katika uwanja wao wa nyumbani!
 
Ungetoa data hata moja tu kujustify uzushi wao.Tazama hii:Mabasi ya Mzee Ruksa & The Family(Hapa namaanisha Hussein) mnamsingizia mwarabu HOOD------Tarehe 20 mwezi wa 7 mwaka 2011.Hood Mbeya-Arusha iliungua mikumi,siku mbili baadae ikadondoka nyingine.Lakini,Kuelekea Pasaka Mabasi ya Mtoto wa Mkulima-Sumri ilidondoka somewhere Mikumi,Songea.Yaani Ningekuwa SUMATRA haya nisingeyafungia bali ningeyafuta kabisa kwenye orodha ya makampuni ya usafirishaji,YOU CAN TELL ME NOTHING TO DAR EXP


Du...Hood mali ya Mwinyi na Sumry mali ya Pinda? Amakweli ukishangaa ya CCM subiri ya Wakombozi wao. Hizi akili za kizandiki hata uzoefu wa CCM haufui dafu.
 
Back
Top Bottom