Olengambunyi
Member
- Jun 17, 2011
- 39
- 0
kweli ukiambiwa kua uyaone si magorofa. Hii ishu c fair washindwe na wakakamae kwa hujuma zao. Tena walaaniwe kuua dar xprec c that cmpo.
Umbea, umbea. Ina maana magar ya Dar Arusha ni Dar Express pekee, au wao wana nini cha zaidi. Huo ni uongo mkubwa. Umetumwa kuwafanyia promo Dar Express.
HI habari ni ya uowongo,inaweza kuwa ni imetolewa na Dar express wenyewe kwa kupotosha hiyo kampuni mpya na pia kufanya watu waichukie.Mimi nakaa Arusha na nilikuwa mteja wa Dar express kwa kuwa yalikuwa mabasi mazuri na ya uhakika kwa safari za dar na Arusha.
Lakini tangu mwaka huu uanze nimechukia mabasi yao kwani yamechoka na hawayafaii repair,Mfano juni nilisafari na dar exp nikapata seat ya dirishani alfajiri kulikuwa na baridi kweli tunatoka arusha kwenda Dar kioo kikawa hakifungi nikamuita konda akasema hawezi kufunga ni kibovu,nikajua ni bahati mbaya ,siku ya kurudi arusha nikaondoka dar saa 12.30 asubuhi ili nifike arusha saa 9.30 nilifika arusha saa 2 usiku.Mabasi yamechoka na wahudumu wana kali mbaya.Hata wiki iliyopita dar express ya kwanza iliangukia kabuku ila wakaficha[/QUOTE]
Na wewe wa ajabu sana. Basi lianguke halafu wafiche - kwani walikuwa wamabeba vifaranga vya kuku? Halafu unasema liliangukia Kabuku - Hapo pana kituo cha polisi na askari wa barabarani kibao wanaovinjari umbali wa kilometa 50 kila upande halafu tukio la basi kuanguka lifichwe??? Kauli hizi zinathibitisha kuwa hoja hii ina ukweli. Naona mmelipwa na Riz1.
Hilo basi lililoanguka kabuku mimi nimeliona nikitokea lushoto lilianguka kilometa kadhaa kabla ya kufika kabuku kama unatokea Segera sehemu yenye kona kali na kwa kweli lilikuwa limeanguka barabarani kabisa na kusababisha usumbufu mkubwa cha ajabu tukio hilo sikuona likiripotiwa katika media yoyote
Kwa maoni yangu binafsi, taarifa hii haiwezi kuwa sahihi. Haya ni majungu yenye lengo la kujenga fitna na chuki dhidi ya hiyo kampuni mpya.
Usafirishaji abiria hapa nchini unahusisha mabasi zaidi ya 1,000. Hivyo hicho kikamouni kipya na vibasi vyake 40 sio tishio mpaka wapike zengwe kwa Dar Express kufungiwa.
Kama kweli lengo la hicho kikampuni kioya ni kuweka kauzibe kwa makampuni mengine, zengwe hili lingepigwa kwa Sumry mwenye mabasi zaidi ya 100 yanayokwenda nchi nzima na nje ya nchi na sio Dar Express mwenye route moja tuu ya Moshi, Arusha!.
Sumatra wakifungia chochote, wanafunga kwa vigezo ambayo viko wazi na sio kwa majungu. Dar Express wanajua ukweli na kama wanajihisi wanaonewa, mamlaka ya rufaa ya Sumatra ni Baraza la Ushindani au waende mahakamani.
Wana jf wenzangu, ili kulinda hadhi ya jf kugeuka kijiwe cha fitna na majungu, habari kama hiza ambazo hazina mantiki ziwekwe kwenye jukwaa la jokes ili isomeke kama jokes.
kama ni kweli huyu bwana mdogo anazidi kujitafutia shida. Wasipopanda hayo ya kwake atayapeleka bagamoyo au?
yani wewe unafikiri pinda yupo nyekunyeku? Au? Unafikiri dogo hajuhi kuwa ni ya nani sumry?
Umbea, umbea. Ina maana magar ya Dar Arusha ni Dar Express pekee, au wao wana nini cha zaidi. Huo ni uongo mkubwa. Umetumwa kuwafanyia promo Dar Express.
Wewe ndiyo siyo mkweli magari 15 ya Dar Express yamefungiwa na Sumatra, KLM Express naona Sawaya ana mkono mrefu na Yotong zake tehe tehe tehe tehe.
mkumbushe Libya au Misri wana wa watawala wako walipo
uzushi uzushi tuuu kila siku kwa faida gani lakini hamna cha kufanya yaone mabichwa yenu!!
Ni amri toka kwa mtoto wa mfalme wa kikwele
Source plz...!! hichi sio kijiwe...