Fredwash
JF-Expert Member
- Oct 27, 2009
- 1,041
- 1,375
Jamani toka nianze kutumia king'amuzi cha Startmies stations ya channel ten badala ya kusikia sauti ya kipindi husika nasikia matangazo ya radio Magic fm . sasa hata sielewi ni mimi tu au maana nimejaribu kuulizia naoha hata hao startmies hawaelewi hebu nisaidieni kama kuna mtu aliyewahi kukutwa na hili.
au mkono wa mtu maana huyu jirani yangu simwamini amini. ( aahahaaa just kidding)
au mkono wa mtu maana huyu jirani yangu simwamini amini. ( aahahaaa just kidding)