Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,645
Kasome Wakorintho wa kwanza sura ya kumi mstari wa 28 "Lakini kama mtu ye yote akikuambia, Hiki kimetolewa kafara kwa sanamu, basi usikile kwa ajili ya huyo aliyekuambia na kwa ajili ya dhamiri"
Sasa ni nani anaendesha ibada ya sanamu kati ya Uislaam na Ukiristo ?