Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Katika taarifa yao ya saa moja usiku huu, kituo cha Channel Ten kimeonekana kimewafanyia Chadema uharamia kwa kutoa footage ya mkutano wa chama hicho uliofanyika katika viwanja vya Jangwani iliyokuwa inakatika katika.
Hotuba za viongozi wa Chadema hazikusikika vizuri, na nyingine hazikusikika kabisa ingawa picha zilikuwa zinaonekana vizuri -- hasa umati mkubwa wa watu uliokuwapo.
Ingawa wameomba radhi kwa kukatika katika huko, mimi nahisi Channel Ten wamefanya kitu hkii kimakusudi tu, kwani kama tunavyojua msimamo wa Channel Ten kuhusu Chadema, na haswa viongoizi wake wakuu.
Channel Ten -- harakati zenu hizi hazifiki popote -- mpiganaji wetu lazima atinge Ikulu apambane na wamiliki wenu.
Hotuba za viongozi wa Chadema hazikusikika vizuri, na nyingine hazikusikika kabisa ingawa picha zilikuwa zinaonekana vizuri -- hasa umati mkubwa wa watu uliokuwapo.
Ingawa wameomba radhi kwa kukatika katika huko, mimi nahisi Channel Ten wamefanya kitu hkii kimakusudi tu, kwani kama tunavyojua msimamo wa Channel Ten kuhusu Chadema, na haswa viongoizi wake wakuu.
Channel Ten -- harakati zenu hizi hazifiki popote -- mpiganaji wetu lazima atinge Ikulu apambane na wamiliki wenu.