Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,013
- 10,167
Channel 10 siku kadhaa zilizopita walitangaza kwamba siku ya jumamosi ambayo ni leo majira ya saa 2 usiku watakuwa na kipindi maalumu kuhusu mauaji ya mwandishi wa habari Iringa, ajabu mida hii wanaonyesha kipindi cha bongo fleva hapa sijui inamaanisha nini tena au SERIKALI IMEWAPIGA MKWARA?