Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,778
Embu tumsaidie jaamaa yetu jamani
Kuna kijana wangu amependena na binti mmoja pale afrikasana..sasa wana muda gani sijui na sitki kujua
sasa amekuwa akiongelea sana maswala ya ndoa jana tukiwa tunafurahi pale breakpoint akasema wazi ana binti anampenda sana yeye ni cd lakini alipoamtmkia yule binti ameacha kwenda pale afriksana na amefikira kuachana na kumpenda jamaa ....ktk mazungumzo binti amesema kabla ya kuoana anaomba wakapime hili ni tatizo lingine kwa mwenzangu anampenda sana lakni anajiuliza huyu binti anamtakia nini akampime..na jana akiwa na simu akatwanga live na kusisitiza wazo lake na binti akusita kutaja masharti yake moja wapo ni hilo la kupima na jamaa amesema ni msichana wa pili kama akisisitiza anakwenda kuachana nae..usiniulize zaidi juu yake.....,Binafsi nilimuuliza unaweza kumtunza cd aliezoea maisha yenye akili kwa kweli nina mfano wa mzungu mmoja rafiki yangu ana mke kaoa kabisa azania na tuliingia asbh mchana arusi kweishna ..wanaishi swafi lakini anachotoa mzungu sijui na yule binti kwa masikitiko aliishia form six na kupata div2..mwenye kutaka ushahdi ruksa tuwasiliane..kale kabinti kalikuwa LAS VEGAS
aliamua kuacha kabisa
Swali je huyu mtanzania mwenzangu atamweza kweli jamaa kama mzungu alivyokula jumla...Je kama mtanzania na exp yako tumpe go ahead ya ndoa??
J5njema
Kuna kijana wangu amependena na binti mmoja pale afrikasana..sasa wana muda gani sijui na sitki kujua
sasa amekuwa akiongelea sana maswala ya ndoa jana tukiwa tunafurahi pale breakpoint akasema wazi ana binti anampenda sana yeye ni cd lakini alipoamtmkia yule binti ameacha kwenda pale afriksana na amefikira kuachana na kumpenda jamaa ....ktk mazungumzo binti amesema kabla ya kuoana anaomba wakapime hili ni tatizo lingine kwa mwenzangu anampenda sana lakni anajiuliza huyu binti anamtakia nini akampime..na jana akiwa na simu akatwanga live na kusisitiza wazo lake na binti akusita kutaja masharti yake moja wapo ni hilo la kupima na jamaa amesema ni msichana wa pili kama akisisitiza anakwenda kuachana nae..usiniulize zaidi juu yake.....,Binafsi nilimuuliza unaweza kumtunza cd aliezoea maisha yenye akili kwa kweli nina mfano wa mzungu mmoja rafiki yangu ana mke kaoa kabisa azania na tuliingia asbh mchana arusi kweishna ..wanaishi swafi lakini anachotoa mzungu sijui na yule binti kwa masikitiko aliishia form six na kupata div2..mwenye kutaka ushahdi ruksa tuwasiliane..kale kabinti kalikuwa LAS VEGAS
aliamua kuacha kabisa
Swali je huyu mtanzania mwenzangu atamweza kweli jamaa kama mzungu alivyokula jumla...Je kama mtanzania na exp yako tumpe go ahead ya ndoa??
J5njema