Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Ukiwa wewe ni Muumin wa kweli, unaombwa uchangie Masjid Goba ijengwe. Kwa sasa Hali ya Masjid yetu iko katika hali hii...
View attachment 46909
Nimefika hapa leo na mimeonana na Imam wa msikiti huu...Tumeongea mengi ila kikubwa mahitaji yao ni mengi...wanahitaji matofali...mbao..mabati...nond
<wbr style="color: rgb(0, 0, 0); font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 11px; line-height: 14px; text-align: left; ">o...cement ...n.k...Nilikwenda na kiasi mlichojaaliwa kuchangia waislam na nimewakabidhi...kwa niaba yao tunawashukuru saana..Mwenyezi Mungu atawazidishia katika hili...Ila kwa wale ambao hamjajaaliwa Inshaallah Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi ili muweze kuchangia...chochote ulichonacho Muislam wachangie ndugu zetu hawa. Tujitengenezee pepo yetu waislam kwa kuwachangia ndugu zetu...Mwenye chochote awasiliane na mimi au dada khardirjer ( spelling please)...Wasalaam!
View attachment 46909