QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
- Thread starter
- #21
Bado ipo na ndiyo inayosumbua. Na inatakiwa kulipwa ndani ya siku 14 tangu mlalamikaji anapokabidhiwa gharama za kesi. Hapo ndo kununua haki!Hivi bado ipo ile sheria sijui ukitaka kupinga matokeo ya ubunge unatakiwa kuweka dhamana ya shilingi milioni 15?
Naomba kuelimishwa