PPM
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 838
- 228
Changia CHADEMA kupitia M-PESA kufanikisha Vuguvugu la Mabadiliko nchi nzima
Chadema ina takribani wanachama milioni mbili. Kila mmoja akichangia angalau shs 1,000/- kwa mwezi, M4C inapata Bilioni 2. Hii ni mara 10 ya ruzuku inayopata Chadema kwa mwezi. Mara 10!
Kuwa sehemu ya mabadiliko na kuwa upande sahihi wa historia. Waweza kuchangia kiasi chochote kile mara nyingi kadri unavyopenda. Wajulishe wengine pia kuhusu habari hii
Jinsi ya kuchangia:
Bonyeza *150*00#
Chagua 4. Lipa bili yako
Chagua 1. Ingiza namba ya kampuni
Ingiza namba ya kampuni (111 333)
Ingiza namba ya kumbukumbu. (Namba yako ya simu)
Ingiza kiasi (Kiasi chochote kuanzia 1,000 mpaka 1,000,000)
Ingiza namba ya siri (Namba yako ya siri)
Thibitisha kwa kubonyeza 1 au batilisha kwa kubonyeza 2.
Mbona transaction haikamiliki, au ni mtandao unasumbua? Tunaomba wahusika wa cheki na Vodacom