Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Baada ya Kuibomoa CCM kanda ya Kazikazini na kanda ya Ziwa sasa ni zamu ya Dar, Lema kuanza kwa kuzindua mabadiliko kupitia kiganja, Lengo ni kuwafikia watanzania wengi zaidi wenye access na mitandao mbali mbali ambao kwa njia moja ama nyingine hushindwa kufika kwenye mikutano ya ukombozi wa taifa lao…