Change Tanzania to one Goverment in whole Country or hell

Democracy999

JF-Expert Member
May 26, 2012
945
189
I just list the 3 Problems caused by two Goverments in un decided and separated responsibilities of who is who incharge: The Boat that Killed hundreds of Tanzania including Foreigners, was refused to be operative in Dar by State agency but the they went to get a License in Zanzibar in heaven of evil; Iranian Ships registered in Zanzibar secretly without involving the State government of Tanzania; Uamsho Islamist that slowly is starting attacks on Churches, Christians and Security Officers as of yesterday many Police officers were attacked and undressed by the Islamist Awakening and separatist movements which openly supported by most un clean and corrupt Zanzibari in government. Lets save ourself now or never, by implementing a one government in all Tanzania
 
We need our Tanganyika Gvt....let Zanzibar go!

Umesoma hii link Koti la Muungano lawabana vijana, vikongwe Zanzibar

How will we get one gvt?
We have this options; Option I: (1) One president for United Republic of Tanzani (1a) Prime Minister for Tanzania Mainland (1b) Prime Minister for Tanzania Islands. Option II: Kutumia nguvu na kutengeneza serikali za Majimbo's with one President of United Repulic of Tanzania under one Constitution. Option two siyo nzuri sana ila itatufanya tukae muda mrefu bila chokochoko za kipuuzi with an agreement of compensating Zanzibar for any deficiency in terms of development and other majimbo yenye rasilimali nyingi lakini hayajaendelea.
 
We have this options; Option I: (1) One president for United Republic of Tanzani (1a) Prime Minister for Tanzania Mainland (1b) Prime Minister for Tanzania Islands. Option II: Kutumia nguvu na kutengeneza serikali za Majimbo's with one President of United Repulic of Tanzania under one Constitution. Option two siyo nzuri sana ila itatufanya tukae muda mrefu bila chokochoko za kipuuzi with an agreement of compensating Zanzibar for any deficiency in terms of development and other majimbo yenye rasilimali nyingi lakini hayajaendelea.
Mkuu
Ningekushauri usome vizuri historia ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar (Tanzania). Ni muungano wa baadhi ya mambo, mambo hayo yanaitwa mambo ya muungano.plus usanii au mazingaombwe.

Lakini vipi tutapata one constitution wakati CCM ambayo ndiyo Chama dola wana sera ya muungano wa serikali mbili?

Je umeisoma hiyo makala katika post #2?

Anyway, kuna usanii wa Katiba mpya unafanyika (mchakato unaendelea ambao mwishoni utaleta Katiba mpya ya Muungano). Maana yake kuna pande mbili, Tanzania mainland(bara/ Tanganyika) na Tanzania Islands (Mafia, Ukerewe na Zanzibar). Ili kupata Katiba Mpya ya Muungano, huenda ikaitishwa kura ili kuipitisha rasimu hiyo kwa kila upande. Sasa baada ya UAMSHO kutoa uamsho huko visiwani, unafikiri Katiba ambayo unaipendekeza itapatikana kweli?

Niliwahi kutanabahisha hili kupitia hapa: link https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...e-aendelee-muhula-mwingine-3.html#post4337730
 
Mkuu
Ningekushauri usome vizuri historia ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar (Tanzania). Ni muungano wa baadhi ya mambo, mambo hayo yanaitwa mambo ya muungano.plus usanii au mazingaombwe.

Lakini vipi tutapata one constitution wakati CCM ambayo ndiyo Chama dola wana sera ya muungano wa serikali mbili?

Je umeisoma hiyo makala katika post #2?

Anyway, kuna usanii wa Katiba mpya unafanyika (mchakato unaendelea ambao mwishoni utaleta Katiba mpya ya Muungano). Maana yake kuna pande mbili, Tanzania mainland(bara/ Tanganyika) na Tanzania Islands (Mafia, Ukerewe na Zanzibar). Ili kupata Katiba Mpya ya Muungano, huenda ikaitishwa kura ili kuipitisha rasimu hiyo kwa kila upande. Sasa baada ya UAMSHO kutoa uamsho huko visiwani, unafikiri Katiba ambayo unaipendekeza itapatikana kweli?

Niliwahi kutanabahisha hili kupitia hapa: link https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...e-aendelee-muhula-mwingine-3.html#post4337730
Kwa maslahi ya nchi, muungano lazima ulindwe kwa ghrama yeyote ile ikiwezekana Zanzibar iwe mkoa mmoja katika nchi ya Tanzania. Hatuwezi kuwaachia wakaenda zao watatusumbua zaidi huko mbeleni.
 
Kwa maslahi ya nchi, muungano lazima ulindwe kwa ghrama yeyote ile ikiwezekana Zanzibar iwe mkoa mmoja katika nchi ya Tanzania. Hatuwezi kuwaachia wakaenda zao watatusumbua zaidi huko mbeleni.
Hapa unamaanisha nchi ipi? Au maslahi ya nchi ipi?

Gharama za kuulinda muungano wa kimjini mjini ni kubwa na pia itatoa mwanya kwa nchi nafiki za US na Ulaya kuja na "humanitarian war" yao.

Ni vyema kuendelea na kampeni ya Let Zanzibar go!

Zanzibar haitakuwa tishio kwa maslahi na usalama wa Tanganyika ukitilia maanani kuwa kuna EAC federation inakuja na Zanzibar atakuwa mbia/mwanachama huko.
 
Back
Top Bottom