Watanzania wengi wanapiga kelele kila siku kuhusu Tanzania mwelekeo wake.
Kwa maoni yangu tutapiga kelele kila kukicha kwenye JF lakini kama wengi wetu hapa hawatahakikisha kwamba kuna mabadiliko kisiasa nchini Tanzania itakua ni kama kumwaga unga kwenye upepo wa dharuba.
Najua kwamba wako baadhi ya viongozi wazuri kwenye CCM lakini uchaguzi ujao tunatakiwa tuiondoshe CCM madarakani ili tupate mwelekeo mzuri wa taifa letu.
Sina uhakika pia kwamba kuna viongozi wa upinzani watakaotuletea maendeleo haraka lakini kuwaweka wapinzani madarakani ndio nchi yetu itapata changamoto kwenye siasa na maendeleo.
Wapinzani wakiwa madarakani watahakikisha kufanya vizuri serikalini ili wasiangushwe kwenye madaraka nakupoteza cheo chao.
CCM kwa wakati huo ikiwa kama mpinzani ndio itakayotoa changamoto kubwa kwenye siasa kwani wanajua kila siri ya serikali waliyokua wanaikalia.
Mwisho ni kwa kila mtanzania kwenda kupiga kura
Wako watanzania wengi wanaosema niende nisiende kupiga kura lakini hali ya Tanzania itabaikia ile ile.
Lazima tujue kwamba ushindi hata ni wa penalty lakini unajulikana kwamba ni ushindi.
Utakaa nyumbani ukisema sitaenda kupiga kura lakini ukae ukumbuke kwamba ndio unatoa nafasi nyepesi kwa yule usiyemtaka.
Inatakiwa tuige ule mfano wa Obama "Change is what we need"
Jerry aka Grote Beer
Kwa maoni yangu tutapiga kelele kila kukicha kwenye JF lakini kama wengi wetu hapa hawatahakikisha kwamba kuna mabadiliko kisiasa nchini Tanzania itakua ni kama kumwaga unga kwenye upepo wa dharuba.
Najua kwamba wako baadhi ya viongozi wazuri kwenye CCM lakini uchaguzi ujao tunatakiwa tuiondoshe CCM madarakani ili tupate mwelekeo mzuri wa taifa letu.
Sina uhakika pia kwamba kuna viongozi wa upinzani watakaotuletea maendeleo haraka lakini kuwaweka wapinzani madarakani ndio nchi yetu itapata changamoto kwenye siasa na maendeleo.
Wapinzani wakiwa madarakani watahakikisha kufanya vizuri serikalini ili wasiangushwe kwenye madaraka nakupoteza cheo chao.
CCM kwa wakati huo ikiwa kama mpinzani ndio itakayotoa changamoto kubwa kwenye siasa kwani wanajua kila siri ya serikali waliyokua wanaikalia.
Mwisho ni kwa kila mtanzania kwenda kupiga kura
Wako watanzania wengi wanaosema niende nisiende kupiga kura lakini hali ya Tanzania itabaikia ile ile.
Lazima tujue kwamba ushindi hata ni wa penalty lakini unajulikana kwamba ni ushindi.
Utakaa nyumbani ukisema sitaenda kupiga kura lakini ukae ukumbuke kwamba ndio unatoa nafasi nyepesi kwa yule usiyemtaka.
Inatakiwa tuige ule mfano wa Obama "Change is what we need"
Jerry aka Grote Beer