moneymakerman
Member
- Jan 20, 2014
- 93
- 230
Habari za leo wanajamvii, natumai wote mko salama. Kuna vituko na visa vingi tunapitia kama abiria na madereva wa taxi mtandao yaani huduma za uber, bolt na nyinginezo. Hebu tutoeni ushuhuda wa matukio mbali mbali yaliyowahi kutupata na kutufurahisha ama kutukasorisha.
Hii ilitokea kama dereva, abiria wa bolt jinga saana, Kani reaquest Tank Bovu nafika pale ananiambia ingiza Gari ndani, naingia wanaleta bonge la sufufia limejaa mtori, eti kaka fungua buti wapakie, hata kwa IST halikai kaka laza siti. Anatoka mwingine, anamwambia ni pale kawe imesoma 2000.
Daah, hebu tuchangie uzi maana wengi wetu yanatugusa.
Hii ilitokea kama dereva, abiria wa bolt jinga saana, Kani reaquest Tank Bovu nafika pale ananiambia ingiza Gari ndani, naingia wanaleta bonge la sufufia limejaa mtori, eti kaka fungua buti wapakie, hata kwa IST halikai kaka laza siti. Anatoka mwingine, anamwambia ni pale kawe imesoma 2000.
Daah, hebu tuchangie uzi maana wengi wetu yanatugusa.