Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Wanajamvi
Naomba tujipe changamoto ya kuchagua any Decsion Making Post/Position nje ya urais. Baada ya kuchagua tutaje vission/mission zetu katika kutekeleza kazi kazi hiyo post. Jaribu kuchambua na kubainisha katika hiyo post( e.g Wizara/idara au shirika) utaoa Priority kwenye vitu/mambo gani na tatizo gani katika miaka mitano au Kumi. ya leadership yako.Utueleze wanachi tutaona/kupata faida gani baada ya hicho kipindi.
NB:
ni wazi wote hatuwezi kukubalina kwa kila kitu buts l"ets try to walk a mile on their shoes"
Nawasilisha.
Naomba tujipe changamoto ya kuchagua any Decsion Making Post/Position nje ya urais. Baada ya kuchagua tutaje vission/mission zetu katika kutekeleza kazi kazi hiyo post. Jaribu kuchambua na kubainisha katika hiyo post( e.g Wizara/idara au shirika) utaoa Priority kwenye vitu/mambo gani na tatizo gani katika miaka mitano au Kumi. ya leadership yako.Utueleze wanachi tutaona/kupata faida gani baada ya hicho kipindi.
NB:
ni wazi wote hatuwezi kukubalina kwa kila kitu buts l"ets try to walk a mile on their shoes"
Nawasilisha.