Changamoto kwa Waandishi wa Habari: (Mwandosya & Mwakyembe Kuundiwa Mzengwe)

NDIO PAMOJA NA KUNIPA SOURCE YAKO YA INFORMATION MIMI PIA NAKWAMBIA KUWA INA MAKOSA HIO WEBSITE YA CCM.NARUDIA HATA KWA DAU LA VISENTI BILIONI TATU,MIMI NAIJUA CCM,NAIJUA SANA...NCHIMBI EMANUEL NDIE ALIEHESABU KURA NA MSHINDI WA KWANZA ALIKUWA NI MWAKYEMBE,WA PILI NIMROD MKONO,WA TATU NI FELIX MREMA NA WA NNE NI FAIDA BAKARI WA TANO NIMEMSAHAU

Fisadi Mtoto,

Nashukuru kwa kunisahihisha. Nimekubali huenda sources zangu nilizotumia kupata hiyo conclusion hazikuwa sahihi. Samahani kwa kukwambia hauko sahihi juu ya hilo.

Binafsi nilifanya juhudi kubwa kuhakikisha hiyo habari kabla ya kuandika lakini nakubali makosa ni yangu maana ndiye niliyeandika.

Samahani kwa yeyeote ambaye kwa njia moja ama nyingine hayo makosa yalimgusa.
 
Mtanzania, hicho nimekipenda na ni standard ya kukubali kusahihishwa. Na pia tunawashukuru Zitto na Fisadi Mtoto kwa kutuweka sawa maana wengine hizi habari ndiyo za "kugoogle" na hivyo tunahitaji human intelligence.

Tuendelee kukata issue, na ninaamini mada pia yaweza kubadilishwa kidogo, unaweza kupendekeza kichwa kingine cha habari maana hiki cha sasa msingi wake ulikuwa gazeti limeongopa kuwa Mwakyembe ni mjumbe wa NEC.
 
Fisadi Mtoto,

Nashukuru kwa kunisahihisha. Nimekubali huenda sources zangu nilizotumia kupata hiyo conclusion hazikuwa sahihi. Samahani kwa kukwambia hauko sahihi juu ya hilo.

Binafsi nilifanya juhudi kubwa kuhakikisha hiyo habari kabla ya kuandika lakini nakubali makosa ni yangu maana ndiye niliyeandika.

Samahani kwa yeyeote ambaye kwa njia moja ama nyingine hayo makosa yalimgusa.


This tells alot about you! Wengi tuna la kujifunza hapa. I am really proud of this. Keep it up my man!
 

Mkuu Mtz,
mada yako uliyoichokoza kwa kweli nakiri imenipatia shule kubwa sana mkubwa wangu,na lazima nikiri kuwa leo nimeshuhudia hoja na hoja zikipambana hapa.Heshima wote kwa hilo.Mi ambacho ningependa kusema hapa ni kuwa Mtz ameleta kitu ambacho kimekuwa kikitusumbua wengi,nacho ni uandishi wa wanahabri wetu kwa maana ya professionalism na utafiti.Wengi sana (though I obviously and categorically exlcude RaiaMwema and ThisDay) ni waandishi kwa kufuata nini wanaandika,kwa nini,interest yao ni nini na bahati mbaya siku hizi,bahasha ya kaki (check book journalism).Kwa "kosa" ambalo Mtz alijaribu kulionesha kuhusu habari hii ya RaiaMwema tuichukulie kama challenge kwetu sisi wasomaji wa habari, na wanahabri kwa ujumla ingawa mwishoni inaonekana RaiaMwema wako sahihi kwa maana kwamba siasa za mkoa wa Mbeya ziko katika utata sana.Hii ndio "crux" au kiini cha argument ya RaiaMwema na Mtz,sasa kuhusu nani ni victims inategema source ya habari kwa mtu husika na point of view ya mtoa habari husika.Otherwise the arguments expounded here are really educative.

I love JamboForums!
 
Wote tunajua vita anavyopata Mwandosya Mbeya.vita hivyo vimepandikizwa na mafisadi kwa kutumia vijisenti kwa watu wa Mbeya.Kama wiki tatu zimepita kulikua na article kwenye Rai kuhusu Mwandosya kugombea urais mwaka 2010 lakini kwasababu ilikua ni uzushi chunguza alioandika ile article yuko wapi sasa.Kazi ya Mwandosya kama wziri inamruhusu kuzunguka nchi nzima kama anataka kufanya kazi zake vizuri.Mulla na Mwakipesile wamekosa kazi wamefanya Mwandosya agenda yao.
 
Back
Top Bottom