Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Kigarama na wewe unazungumza kama unazijua siasa za Mbeya. Kwenye hiyo habari ukiondoa hilo suala la UNEC ni kitu gani kingine ambacho kina makosa, hakiwezekani kabisa, au ni cha kutunga na uzushi?
Jana nilikuwa mbeya na leo nilipolisoma Raia mwema nikaona kama vile wanasimuliwa yale niliyosimuliwa mbeya. kwa hakika wana mbeya ambao wanapigana kufa na kupona kuona watoto wao Mwandosya na Mwakyembe wanainuka kwenye siasa za tanzania wanapambana vikali na wanamtandao wa kikwete.
na kwa mfano wanasema waziwazi kwamba kama CCM ikiendelea kuwachokonoa mwandosya na Mwakyembe basi wao wako radhi mwaka 2010 kuiangusha CCM Mbeya Mjini kuliko kumpa Tom Mwang'onda ubunge!