Watanzania tunashambuliwa kwa mengi, vyombo vya habari ni mojawapo ya zinazotumika. ...
Magazeti mawili ya The Citizen na The East African yanaandika habari kwa mtazamo na ushabikiaji wa Kenya. Ni vigumu kukuta habari yoyote yenye kuonyesha kwamba Tanzania au Watanzania wana uwezo wa kufanya chochote cha maendeleo. Yanatoa mtazamo wa kuelekea kusema kwamba Tanzania inahitaji msaada kutoka kwa washirika wake wa EAC lakini hasa Kenya! Kila kilicho kizuri kipo, kinafanyika Kenya au na Mkenya au Taasisi ya Kenya.
Mfano:
Mengine nimesahau ...
Magazeti haya yana mkakati wa kuitangaza na kuiuza Kenya kwenye vichwa vya Watanzania.
Wanafanikiwa!
Nenda hoteli za wageni, wanafungulia CNN, nk, ni vigumu kupata habari za kitanzania kupitia luninga ndani ya hoteli hizi...
We are being brain washed fast!
Vyombo vyetu vya habari vina majibu kwa maana ya kuweka mtazamo wa Ki-Tanzania?
Je, hatuhitaji kuzuia upotoshaji wa habari (kwa malengo ya mpotoshaji) k kuwa na waandishi Watanzania (wazalendo) kuandika habari za Tanzania katika gazeti lililosajiliwa Tanzania ....
????
Magazeti mawili ya The Citizen na The East African yanaandika habari kwa mtazamo na ushabikiaji wa Kenya. Ni vigumu kukuta habari yoyote yenye kuonyesha kwamba Tanzania au Watanzania wana uwezo wa kufanya chochote cha maendeleo. Yanatoa mtazamo wa kuelekea kusema kwamba Tanzania inahitaji msaada kutoka kwa washirika wake wa EAC lakini hasa Kenya! Kila kilicho kizuri kipo, kinafanyika Kenya au na Mkenya au Taasisi ya Kenya.
Mfano:
- Prof. Tibaijuka alisoma Upssala (hakitajwi taasisi yoyote ya tanzania);
- Wahandisi wa Kampuni pekee Afrika Mashariki iliyotunikiwa ISO 9001:2000 wamesoma nje ya Tanzania (Ghana), The Citizen
- Meli ya uvuvi haramu ilikamatwa kwa msaada wa wanabaharia wa Kenya, Msumbiji na Afrika Kusini (Watanzania wala hawatajwi) The East African
- Wanaoua maalbino wamejulikana kirahisi kwa kutumia Interpol
Mengine nimesahau ...
Magazeti haya yana mkakati wa kuitangaza na kuiuza Kenya kwenye vichwa vya Watanzania.
Wanafanikiwa!
Nenda hoteli za wageni, wanafungulia CNN, nk, ni vigumu kupata habari za kitanzania kupitia luninga ndani ya hoteli hizi...
We are being brain washed fast!
Vyombo vyetu vya habari vina majibu kwa maana ya kuweka mtazamo wa Ki-Tanzania?
Je, hatuhitaji kuzuia upotoshaji wa habari (kwa malengo ya mpotoshaji) k kuwa na waandishi Watanzania (wazalendo) kuandika habari za Tanzania katika gazeti lililosajiliwa Tanzania ....
????