ukifungua hilo pdf file wameandika unaweza kuomba kusoma somo lolote lenye manufaa kwa taifa lako! kama unadhani drug trafficking litasaidia Tanzania poa , kila la heri mkuu!:shock:Hakuna ya kupambana na drug traficking? Hawa jamaa wako very serious na kuwamaliza drug trafickers. Tupeleke watu wakasomee hizi course za maana sasa
Hakuna ya kupambana na drug traficking? Hawa jamaa wako very serious na kuwamaliza drug trafickers. Tupeleke watu wakasomee hizi course za maana sasa