Car4Sale Changamkia starlet kwa bei poa kabisa

LARRYBWAY

Member
Feb 21, 2012
82
5
Nisingependa kuwa muongeaji sana wa Tangazo hili, bali ningependa nikupe nafasi ya kuweza kupata kile kilicho bora na imara zaidi(Roho ya paka) na kuepukana na ghasia za mwendokasi na madalala.

kama Tangazo linavyojieleza hapo juu, gari iko katika mazingira mazuri kabisa, haina shida, full kipupwe-A/C, Vibali vyote vimelipiwa, tairi mpya na haijatembea umbali mrefu.

Toyota Starlet Carat

Bei inaanzia Tsh 6,500,000/= mazungumzo yapo.

Kwa mawasiliano nicheki kupitia 0717 54 73 25.

Wote Mnakaribishwa.
 

Attachments

  • c1.jpg
    c1.jpg
    58.5 KB · Views: 120
  • c2.jpg
    c2.jpg
    60.9 KB · Views: 123
  • c3.jpg
    c3.jpg
    58.3 KB · Views: 120
  • c4.jpg
    c4.jpg
    52.7 KB · Views: 127

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom