Serikali ya Tanzania kupitia waziri wa mambo ya nje imewaambia Waingereza waharakishe malipo ya fidia ya Paund Milioni 29 kwani wanataka kununua navyo vitabu na madawati......
alisema hivi.....
Serikali ya Tanzania ilikusudia kutumia fedha hizo kununua jumla ya vitabu milioni 4.4 kwa ajili ya shule za msingi, vitabu vya miongozo ya mitaala 192,000 kwa ajili ya masomo 12 katiak shule 16,000, kununua madawati 200,000 kwenye shule zilizo na upungufu wa madawati na kujenga nyumba 1,196 za walimu katika wilaya zote nchini, kujenga vyoo 2,900
Hivi ni Tanzania ninayoijua mimi au nyingine??? mbona tuna vyanzo vingi vya hela...(madini, Kilimanjaro,Ngorongoro, serengeti,mikumi, misitu na bandari) lakini watoto wanakaa chini mashuleni???
Hili sio changa la macho??
alisema hivi.....
Serikali ya Tanzania ilikusudia kutumia fedha hizo kununua jumla ya vitabu milioni 4.4 kwa ajili ya shule za msingi, vitabu vya miongozo ya mitaala 192,000 kwa ajili ya masomo 12 katiak shule 16,000, kununua madawati 200,000 kwenye shule zilizo na upungufu wa madawati na kujenga nyumba 1,196 za walimu katika wilaya zote nchini, kujenga vyoo 2,900
Hivi ni Tanzania ninayoijua mimi au nyingine??? mbona tuna vyanzo vingi vya hela...(madini, Kilimanjaro,Ngorongoro, serengeti,mikumi, misitu na bandari) lakini watoto wanakaa chini mashuleni???
Hili sio changa la macho??