Hawa jamaa matangazo yao wanafagilia chama tawala tu
Angalau TBC1 siku hizi wanaonekana fair kwa vyama vyote.
Hawa jamaa matangazo yao wanafagilia chama tawala tu
nasikia hiyo channel iliyopo uhindini yule fisadi papa rostam ndo anaimiliki, so msitegemee jema toka hicho kituo.
shida kubwa kujadiliana na walevi...!walishazibwa mdomo hao
shida kubwa kujadiliana na walevi...!