mysteryman
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 977
- 176
Sijui ni kwangu tu au ni kote...yani chanel 10 sauti iko chini sana yani ukitaka kusikia inabidi uweke sauti mpaka mwisho ndo unaskia sauti ya kawaida...sasa kivumbi usahau ubadilishe chanel nyingine bila kupunguza sauti unaweza kimbia......kama kuna wanaohusika hapa tafadhali tatueni hilo tatizo bana