Sio chanel 10 tu hata zote za IPP MEDIA hazipatikani hewani tatizo waliingia mkataba wa kijinga sana kuwa mawimbi yao yawe yanapatikana kwenye dish za ft8 tu na ndio maana ukitumia dish za ft8 unawapata bila tatizo lolote kama unatumia dish la ft6 hiyo imekula kwako.
hiyo IPP hata kwenye ft8 nayo isha anza kuzingua, Mamlaka ya mawasiliano sijui wanafanya kazi gani, mi nahisi kuna tatizo coz, startv walichomoka ila wamerudi mbona tv za Kenya hazizingui, mi nahasira na Mamlaka ya mawasiliano hadi basi. coz, mi sijui kazi yao ni ipi hasa kama Chanel zinazingua na hakuna wanacho tuambia
Mkuu hata km wanafanya biashara,yaani wanashindwa kuwa hewani.mfano huku KIGOMA ni STARTV lkn TV ya magambo hovyo.Ndiyo digital au upupu tu utuwashe dail
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.