Mwanamalundi
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,125
- 1,432
- Thread starter
- #81
Tutaendelea kutetea haki za wanyonge hadi kieleweke. Waliosababisha ile "fiasco" ya April, 2012 wachukuliwe hatua. Chami, Mkulo, Mponda, Ngeleja na Maige walionewa!!!!!!!!
Sting to your guns?....what if they explode in your face?........hakuna aliyeonewa hao wote Chami, Mkulo, Mponda, Ngeleja na Maige walitajirika vilivyo kwa njia zisizo halali vipi washitakiwe au waachwe tu?
Wee NOMA hahahahahkama walionewa waandamane
basi kuchapa kimya watulie hata kama wamekalia vitu vya ncha kaliWee NOMA hahahahah
Waandamane kwani wao chadema?