zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Huyu jamaa ni buege wa kutupa..Watafuata wapi? Kwa kauli ya jana JK amesema 'kwa misingi ya sasa', thats means from now on (from yesterday- 4 May 2012) ndio watafuata, manake kwamba dhambi ya kabla ya hapo zimesamehewa!
Wacha upunguwani, ktia maana zisizokuwepo na kujijaza ujinga.