Chameleone azuiwa kuondoka nchini na Shigongo kisa deni!?

Nyie mnakuwa kama wageni kwa Chameleone...uyu alishajirusha hadi gorofani ili aandikwe kwenye magazeti achilia mbali kuslim kwa 24 hours...itakuwa kuitumia hii nafasi adimu kuuza bongo..

Mi nashangaa watu, jinsi povu linavowatoka.
KINYONGA NI KINYONGA TU.
Walio wengi hawajawahi fatilia skendo zake za ajabu ajabu.
Tanzanians, 'wek-ap'!!
Love each other bana.
 
hivi huyu jamaa ni mwizi kila kona hata kwenye hoteli yake ya hapa dar imejaa hujuma za wizi kwenye vyumba vya wateja yaani ukiingia humo inabidi uwe unatembea na mizigo uliyoinigia nayo zaidi ya hapo lazima utaibiwa tu na ukimweleza anakuwa mkali zaidi ya hata anaehisiwa kuchukua inaonekana kudhulum ni jadi yake..sasa kakutana na mjanja zaidi yake amekoma

Acha propaganda, hii sio siasa!!
 
kumbe shigongo nae ni maimuna?!, hajui kusoma wala kuandika, alishindwa hata kuwasiliana na Kinyonga?! Mbona napatikana kwenye social networks kibao na hata phone numbers zake zipo?!. Well, haya ni matatizo ya kuzoea kuingilia milango ya nyuma, nadhani itakula kwake.

Acha upuuzi wako hivi unamfahamu shigongo???? Jee are you conversant with the issue at hand? if you have no authentic data you have no right to write acha majungu na inawezekana kuwa wewe ni maimuna maana unazungumzia kitu usichokifahamu fully
 
Ho waaandamanaji, wangekua ndo watanzania wakiandamana kwenye ubalozi wa uganda kushinikiza Diamond kupewa Passport, Mabomu yangekua sio ya kitoto, kwa nia ya kujipendekeza kidiplomasia zaidi.
 
Nimemsikiliza Shigongo vizuri alipokuwa anajieleza kwenye kipindi cha Hotmix cha EATV, Ki ukweli watanzania kazi tunayo. Kwa kuwa tuna tabia ya kudharauliana wenyewe kwa wenyewe basi hatuna budi kuendelea kudharauliwa hata na wageni ndani ya nchi yetu. Sina hakika kabisa kisheria kwa kile alichokifanya Kaka Eric, the way chameleone did to him is not fair at all. Na pia ametu-alert waTz tukae chonjo kwa utapeli wa ndugu Kinyonga. Lakini pia ametuambia kuwa alimtuma Kidumu kwenda Uganda kuonana na Chameleone, so Kidumu nae anaweza kutueleza kipi kilichojili kwenye sakata hili. Na mwisho kama mamlaka zikitambua ukweli kuwa Chameleone amemtapeli Shigongo basi awe bunned kufanya show ya aina yoyote hapa Tanzania, kama walivyomfungia Kenya.

Ni kweli kabisa,
Tatizo watu wameanza kutoa lugha chafu kwa kusikiliza/kusoma hoja za upande mmoja.
Hebu tuwe makini, hili ni jamvi la watu makini.
 
We labda humjui Shigongo, nenda pale hotelini pake ulale halafu upate matatizo ndo utamjua vizuri
lol, nilidhani haya mambo watu mnasema tu kumbe kuna ukweli!?

Singer Chameleone demonstrates at Tanzanian Embassy over passport

Posted Thursday, July 26 2012 at 17:58

Work came to a standstill at the Tanzanian embassy along Kagera Road in Kampala when singer Joseph Mayanja aka Jose Chameleone pitched camp outside the embassy building demanding for the release of his passport. Dressed in a blue kitenge, blue jeans and yellow slippers, Chameleone with a mattress, jerrycan and guitar in hand, lay down his tools and took a nap attracting the attention of passers-by as well as embassy security.

Chameleone alleges that on July 8, a Tanzanian promoter identified as Eric Shigongo took away his passport and two others belonging to his minders Sulaiman Kalisa and Kibalama Denis at Atriums Hotel in Kinondoni, Dar-es-salam, Tanzania.

Chameleone told this newspaper that the promoter who had hired him to perform at the Saba Saba show on July 7, requested Chameleone and his collegues to hand him their passports alleging he wanted to photocopy them for purposes of taxation with the revenue authorities in Tanzania.

“Eric didn’t return the passports. When I met him outside the hotel, he told me he was demanding me $3500. He told me he had given the said amount to my manager a one George Mugabo in Kampala as deposit for the show a few weeks back,” Chameleone said.
Source: Singer Chameleone demonstrates at Tanzanian Embassy over passport *- National*|monitor.co.ug
 
Wanaelewana Hao................................... There is a hidden story bihind!!!!!!!!!!!!!!!
 
yeye alidhani ana deal na magazeti ya udaku. Ataungia mkenge atakapodaiwa fidia.
 
Kumbe Jose alikula dola 3500 kwa kutumia conman kisha akataka mauzo mengine dola 8000/= ili atumbuize Taifa akalipwa alivyo maliza kutumbuiza ikatakiwa alipe zile dola 3500 alizo kula awali akawa mbishi
 
yeye alidhani ana deal na magazeti ya udaku. Ataungia mkenge atakapodaiwa fidia.
 
hakuna haibu yeyote hapo tatizo letu wa tz ni kutopendana.

Yana hadi sasa hujui kama passport alisha rudishiwa.

shelia ya PASPORT si mali ya mtu ni mali ya SELKAL husika hata ukiwa mwizi au jambazi seliki ulio ifanyia makosa itfuata sheri ikwa MAHAKAMANIA NK. baada ya hapo utalusiwa kwenda kwenu aidha chini ya udhibiti fulani na pasport yako utapewa mkononi au kukabidhiwa Pilot ukifika kwenu una kabidhiwa na huenda 2 Pass.yako ikwa imewekwa BRACKLIST ili usiludi
 
Ni mahakama pekee ndiyo ina mamlaka ya kuzuia pasi ya kusafiria ya mtu yeyete, kinyume chake haruhusiwi mtu yeyote kuishika hati ya kusafiria ya mtu mwingine zaidi ya ofisa wa uhamiaji.
Shigongo anadhani ni zile stori zake za kutunga eeeh!!!

Tunatakiwa tutambue kuwa Passport ilivyoandikwa nafikiri pg za mwanzo ni mali ya Rais wa taifa lililotoa pass husika.......Shigongo kachukua mali ya Mu7
 
Hili swala lipo kisheria zaidi ko tusuburi wanasheria watusaidie nan amekosa,kuriko kutoa tuhuma upande wowote.
 
kumbeeeee,njaaaa kali,duuu,dola 3,500 inamtoa macho hvyo na yy ni taicun wa udaku tz,hapati mihela hadi amzingue jozeee,akubali tu matokeo kuwa ameingizwa choo cha kike ili asiendelee kujidhalilisha na kushusha heshima yake kwa jamii na kwa wasomaji wa magazeti yake
 
Back
Top Bottom