Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Where is Nyani Ngabu when you need him?
Hapa Shigongo na huyo Chameleon - at the risk of "blaming the victim"- wote wanatuaibisha.
We mtu mkubwa mzima mwanamuziki una jina kimataifa utaruhusuje mtu tu ashike passport yako? Unakuwa kama yaya wa Kifilipino anayepelekwa Saudi kwa nauli asiyoimudu?
Halafu hata baada ya hili kutokea, utaruhusuje kuanika dhakari kama hivi? tena kwa kujitajia kidaumbuzi unacholipwa, hata mtu aliyetaka kukulipa mara kumi zaidi anakuona cha mtoto.
Waganda walimcheka sana Saida Karoli alivyochemsha mambo fulani kwao, sasa zamu yao.
Not that I endorse anything Shigongo does. Shigongo naye siku yake inakuja.Kuna siku atamkatizia kichaa tutakuja kupewa habari mbaya hapa.
Eric,pasport ya mtu ni nyara ya serikali.Hutunzwa na mhusika na serikali tu. Kama ni kweli unayo ilrudishe haraka kwa huyo mdogo wako.
Unasema wewe ni mcha mungu, mbona unakisasi sana? Angalia ulivyo haribu maisha ya maelfu ya wa Tanzania kupitia magazeti yako yaliyo jaa mapicha ya utupu yasiyo mpendeza mungu.
Katika jina la Yesu rudisha pasport ya Chamelion!
Katika jina la Yesu nafunga unafiki wako!
Katika jina la Yesu acha kumfuata Wema na watoto wengine wanojitafutia maisha!
Katika jina la Yesu nafunga pepo linalokupa ujasiri wa kuwaumbua watu kwenye magazeti huku ukijua si kazi yako!
AMEN!
ili swala liko mahakaman si busara kulijadili,tundu lisu kaa chini by spika wa bunge
Mbona tukisafiri ulimwenguni mahotelini wanabaki na passport zetu?
Ingawa haijawahi nikitokea nikashindwa kulipia gharama za hotel
Katika Ukursa wake wa Facebook kaanza kuandika hivi:
DR. JOSE Chameleone
I AM VERY DISAPPOINTED!
I WAS HIRED BY GLOBAL PUBLISHERS A TANZANIAN COMPANY, TO PERFORM AT THE NATIONAL STADIUM ON THE 7th July 2012.
I PERFORMED AS THE CONTRACT AGREED! ON SUNDAY 8th ONE ERIC SHIGONGO THE CEO GLOBAL PUBLISHERS CONFISCATED MY PASSPORT ALLEGING MY MANAGER HAD SWINDLED HIS 3500$, WHICH IN REAL SENSE WAS SWINDLED BY A KAMPALA CONMAN CALLED GEORGE.
I WAS ASSISTED BY THE UGANDAN EMBASSY IN DAR EL SALAAM, WHO GAVE ME A TEMPORARY DOCUMENT TO RETURN ME HOME.
ON RETURN TO UGANDA I HUNTED FOR THE CONMAN, ARRESTED HIM AND HANDED HIM OVER TO POLICE, WHO FREED HIM ON CONDITIONS I DON'T KNOW!
I EXPLAINED TO THE TANZANIAN AMBASSADOR AT THE TANZANIAN HIGH COMMISSION IN UGANDA FOR ASSISTANCE BUT SEEMS IN VAIN.
I HAVE UPCOMING PERFORMANCES IN
SOUTH AFRICA, ENGLAND,BELGIUM, NORWAY,SWEDEN, CANADA ETC!
SO IS ERIC SHIGONGO ABOVE THE LAW TO KEEP MY PASSPORT ILLEGALY?
AM I LIABLE TO HIS NEGLEGANCE THAT HE TRUSTED A CONMAN?
IS IT FAIR THAT AN UNAUTHORIZED TANZANIAN CITZEN CAN KEEP MY PASSPORT FOR OVER A MONTH?
I NEED ADVICE
Akaendelea hivi:
ERIC SHIGONGO AM BOUND TO MAKE YOU AN EAST AFRICAN CELEBRITY GOR TAKING THE LAW THE WAY YOU WANT! WE ARE PLANNING EAST AFRICA UNION AND U ARE PROMOTING YOUR SELFISH UNION! Damn
Akaendelea tena:I AM AT THE TANZANIAN HIGH COMMISSION IN DEMOSTRATION FOR THE CONFISCATION OF MY PASSPORT BY A TANZANIAN ILLEGALY ERIC SHIGONGO I NEED MY FREEDOM TO TRAVEL AS A UGANDAN!
I NEED MY PASSPORT BACK ASAP!
FOR GOD AND MY COUNTRY UGANDA.NA TENA:
Woken up! AM NOT GOING TO GO BACK TO MY HOUSE! AM GOING TO SLEEP AT THE TANZANIAN HIGH COMMISSION UGANDA UNTIL MY BROTHER FROM TANZANIA SURRENDERS BACK MY PASSPORT TO UGANDA GOVERNMENT THAT OWNS IT.HE IS HOLDING IT ILLEGALLY- IF NO BODY IS THERE FOR MY RIGHT AND JUSTICE LET ME ASK FOR IT MYSELF!
I AM DEMONSTRATING AGAINST INJUSTICE
AND WANT ERIC SHIGONGO TO RESPECT MY COUNTRY!
FOR GOD AND MY COUNRTY I DECLARE.
Nyie mnakuwa kama wageni kwa Chameleone...uyu alishajirusha hadi gorofani ili aandikwe kwenye magazeti achilia mbali kuslim kwa 24 hours...itakuwa kuitumia hii nafasi adimu kuuza bongo..
amwambie dada sintah anayejipendekeza kwake ili amsaidie kumwombea passpot kwa jambazi shigongo.katika ukursa wake wa facebook kaanza kuandika hivi:
dr. Jose chameleone
i was hired by global publishers a tanzanian company, to perform at the national stadium on the 7th july 2012.
I performed as the contract agreed! On sunday 8th one eric shigongo the ceo global publishers confiscated my passport alleging my manager had swindled his 3500$, which in real sense was swindled by a kampala conman called george.
I was assisted by the ugandan embassy in dar el salaam, who gave me a temporary document to return me home.
On return to uganda i hunted for the conman, arrested him and handed him over to police, who freed him on conditions i don't know!
I explained to the tanzanian ambassador at the tanzanian high commission in uganda for assistance but seems in vain.
I have upcoming performances in
south africa, england,belgium, norway,sweden, canada etc!
So is eric shigongo above the law to keep my passport illegaly?
Am i liable to his neglegance that he trusted a conman?
Is it fair that an unauthorized tanzanian citzen can keep my passport for over a month?
I need advice
akaendelea hivi:
eric shigongo am bound to make you an east african celebrity gor taking the law the way you want! We are planning east africa union and u are promoting your selfish union! Damn
akaendelea tena:i am at the tanzanian high commission in demostration for the confiscation of my passport by a tanzanian illegaly eric shigongo i need my freedom to travel as a ugandan!
I need my passport back asap!
For god and my country uganda.na tena:
Woken up! Am not going to go back to my house! Am going to sleep at the tanzanian high commission uganda until my brother from tanzania surrenders back my passport to uganda government that owns it.he is holding it illegally- if no body is there for my right and justice let me ask for it myself!
I am demonstrating against injustice
and want eric shigongo to respect my country!
For god and my counrty i declare.
Tena kwa hela ndogo sana ya $3500.Eric,pasport ya mtu ni nyara ya serikali.Hutunzwa na mhusika na serikali tu. Kama ni kweli unayo ilrudishe haraka kwa huyo mdogo wako.
Unasema wewe ni mcha mungu, mbona unakisasi sana? Angalia ulivyo haribu maisha ya maelfu ya wa Tanzania kupitia magazeti yako yaliyo jaa mapicha ya utupu yasiyo mpendeza mungu.
Katika jina la Yesu rudisha pasport ya Chamelion!
Katika jina la Yesu nafunga unafiki wako!
Katika jina la Yesu acha kumfuata Wema na watoto wengine wanojitafutia maisha!
Katika jina la Yesu nafunga pepo linalokupa ujasiri wa kuwaumbua watu kwenye magazeti huku ukijua si kazi yako!
AMEN!
Taarifa zilizonifikia punde zinatanabaisha kuwa mmiliki wa magazeti ya udaku nchini Tz ndugu Erick Shigongo wawekwa kizuizini,
Haijafahamika nini tatizo hasa, ila nitawajuza punde tu nipatapo habari kamili!
Updates:
Kamnyanganya Chamelione passport,
Tatizo jamaa ana diplomacy passport!
Issue imeingiliwa na Museven mwenyewe! Bado anashikiliwa na
Anahojiwa na usalama.
Wanasema yuko interogation kwao!!
Wameanza convasation saa 7 zilizopita mpaka dakika hii!
Ipo video ingieni kwenye page ya fb ya "Walter Rumisha"
Shigongo hana haki ya kushikilia hati ya mtu yeyote hata akiwa si raia wa nje ya Tanzania. Sheria iko wazi na ni udhaifu wa serikali hii tu unaomwezesha huyu Bwana kumiliki kinyume cha sheria pasipoti ya kijana huyu. Inashangaza mno kuona serikali inamvumilia kwa mtindo uleule wa "ni mwenzetu".