Siku zote najiuliza lakini sipati majibu nisaidieni wa JF, hivi hawa sisiem kwanini walitumia mafweza meengi sana kwenye uchaguzi uliopita huku wakijua wana uwezo mkubwa wa kuchakachua matokeo ? Mi naona wangefanya kampeini za kawaida tu halafu mwisho wachakachue kama kawaida na tusingekuwa na wakati mgumu kifedha kama ilivyo sasa.