Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,822
Sijui kwanini mwalimu nyerere alisema "siasa ni kilimo"
Sijui ni nani aliyeigeuza siasa kuwa sanaa?
Hizo chupa za bia gani hapa Tz?
Tanzania hatuna aina hiyo ya chupa, kwahiyo hii picha na tukio siyo la tanzania.
Duh!! Yaelekea mwenzetu ni Mtaalam wa masuala ya Lager!!